Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,735
- 7,010
Mimi ni mwalimu mwenye shahada ya elimu baada ya kujiendeleza toka ualimu ngazi ya cheti,miaka 7 kazini,
baada ya kuona mambo hayaendi kabisa hapa kwenye ualimu kuna ndugu yangu kanishauri nihamie kwenye jeshi la polisi (uaskari), kwani maisha ni magumu na pamoja na kujiendeleza kielimu hakuna badiliko lolote nnlilolipata hadi sasa kuanzia mshahara uko palepale tu,
zaidi ya kupelekwa kibabe sekondari ya jirani na shule yangu ya awali bila hata kupewa stahili zangu za uhamisho,
naomba ushauri wa dhati kuhusu wapi penye unafuu,
baada ya kuona mambo hayaendi kabisa hapa kwenye ualimu kuna ndugu yangu kanishauri nihamie kwenye jeshi la polisi (uaskari), kwani maisha ni magumu na pamoja na kujiendeleza kielimu hakuna badiliko lolote nnlilolipata hadi sasa kuanzia mshahara uko palepale tu,
zaidi ya kupelekwa kibabe sekondari ya jirani na shule yangu ya awali bila hata kupewa stahili zangu za uhamisho,
naomba ushauri wa dhati kuhusu wapi penye unafuu,