elewa mwili wa mwanamke hauna formula maalum kwa maana kua njia hiyo ya kalenda sio mara zote ipo constant huweza kubadilika kutokana na hali ya hewa km kusafiri, stress, maradhi, dawa nk. kwahiyo usikariri kaka kwamba lazima siku za hatar zianze kwenye siku ya kumi au 11.sometimes huweza kuwahi kupevusha yai au likachelewa.
halaf kwann humuamin mwenzako? km ni msaliti kwa nini hakupata hiyo mimba tangu kipindi cha nyuma apate baada ya kupewa dawa za bibi? ashawah kukusaliti huko nyuma? kama wewe uko hivo sio lazima na yeye awe hivo. ata akiwa hivo ujue ni ngoma droo.... be positive na usiweke dhana juu ya jambo usilolijua wala kua na ujuzi nalo.
mfano jiweke ktk nafasi yake halaf fikir ungejiskiaje kupata response hiyo unayomuonesha, na usikute kwa kua mmekaa miaka 3 alikua na hamu sasa amepata halaf unajitia kukataa..... inauma kama sio kukera hasa kwa jambo ambalo huenda si la kweli.
point ya muhim ni kua usihukum bila ushahid wala usiwe na dhana mbaya juu ya mwenzako, unaumiza hisia za mwenzako. mwili wa mwanamke hauna formula USIKARIRI, kalenda sio mara zote iko sawa ndo mana hata wanaozuia mimba kwa kufata kalenda wakat mwengine hufeli.
NENDENI HOSPITAL mkaonane na dk wa kina mama ujieleze waziwazi bila kuficha jambo halafu atakupa somo ambalo linaweza kukusaidia, ukiwa unatafta ushaur ni vizur kuomba kwa ambao wana ujuzi na hilo jambo otherwise utapotea kwa kuskiza maneno ya watu.