Ushauri juu ya huu ujauzito

Ushauri juu ya huu ujauzito

No! Let's be real here. Mimba inaweza tunga kuanzia siku ya 9 tangu alipoingia hedhi. We call first day of menses Day One. So, let's count from day 1 tarehe 7 up to tarehe 15....we arrive to 9 days.

Ushauri: kapige nae ultra sound mjue mimba iliingia lini.
Kuna docta nimepiga nae stori ananiambia inaenda mpaka siku 11 adi 18 toka atoke hedhi
 
Watu bwana we si unataka mtoto jamani au we lea tyuuuu!
 
Hata siku 3 baada ya period mtu anapata inategemea na mzunguko
 
Umebambikwa full stop. Au suburb DNA msemakweli. Wacha azaliwe then DNA
 
Inawezekana mzee.
Mfano angalia hizi siku hapa. (zichukulie kama siku sio tarehe) 1 ikiwa siku ya kwanza anaingia hedhi
1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,(11,12,13,14,15,16,17) 18,19,20......28
1-5 SIku akiwa kwa hedhi
6-9 siku salama (10 ipo half half kulingana na masaa aliyoanza au mnayokutana)
11-17 siku hatari. siku ya 14 ikiwa ndio siku ya ovulation.
19-28 Salama (18 nayo iko half half kama ya 10 hapo juu)
NB Hii ni kwa mtu mwenye mzunguko wa kawaida wa siku 28.

Ngono ni hatari, kama haupo kwenye ndoa, Subiri wakati wako. Uzinzi, uasherati ni HATARI kwa afya na afya ya ROHO yako.
 
unamaanisha nn dada yangu
Na maanisha kuwa hiyo mimba yawezekana ilikuwepo na bado akaingia period kawaida... Ika wanasema pia si dalili nzuri ni dalili za mimba kutoka .. Na wanawake wengi hupata mimba lakini hutoka bila ya wao kujua .. Embu google utapata zaidi mkuu
 
Na maanisha kuwa hiyo mimba yawezekana ilikuwepo na bado akaingia period kawaida... Ika wanasema pia si dalili nzuri ni dalili za mimba kutoka .. Na wanawake wengi hupata mimba lakini hutoka bila ya wao kujua .. Embu google utapata zaidi mkuu
poa ndao
 
watoto ninao kijana wawil but si wake niliwapata kipindi cha ujana
Kaka eh,usiumize kichwa sana. Maana kuna mambo mawili hapa

1.Wanaume wengi tunajidanganya.Kina mama ndo wanaojua watoto wao baba zao ni kina nani.

2.Navyojua mimi baada ya hedhi kuna siku kadhaa uki do nae ? lazima mimba inase. Na navyoongea hapa nimemzaa mtoro wa kike kwa mfumo huo na nina uhakika mi ndo nilikuwa nagonga mwezi huo. Nashauli kitu kimoja. Kama unaona hauna uhakika na vidhibiti huna. Tulia ajifungue ukafanye utaratibu wa DNA kimya kimya. Maana ukikuta mtoto ni wako ni mziki mwingine akikua na kuelezwa kwamba ulimkana
 
Kaka eh,usiumize kichwa sana. Maana kuna mambo mawili hapa

1.Wanaume wengi tunajidanganya.Kina mama ndo wanaojua watoto wao baba zao ni kina nani.

2.Navyojua mimi baada ya hedhi kuna siku kadhaa uki do nae ? lazima mimba inase. Na navyoongea hapa nimemzaa mtoro wa kike kwa mfumo huo na nina uhakika mi ndo nilikuwa nagonga mwezi huo. Nashauli kitu kimoja. Kama unaona hauna uhakika na vidhibiti huna. Tulia ajifungue ukafanye utaratibu wa DNA kimya kimya. Maana ukikuta mtoto ni wako ni mziki mwingine akikua na kuelezwa kwamba ulimkana
asante mkuu kwa ushauri coz hili suala linaumiza akili yangu sana kulea kiumbe cha mtu inauma sana arifu
 
Naishi na mwanamke, tumekaa 3 years hatujajaliwa mtoto. Mwezi wa pili alipata msiba akaenda kwao akiwa kule alinipigia amepata bibi mtaalam wa tiba asili anampa dawa mwez wa 3 tarehe 7 akaniambia yupo siku zake, akamaliza tarehe 11. Tarehe kumi na 5 akaja tukashiriki tendo kama kawaida tarehe 5 a kanuna kipimo kajipima akaniambia ni mjamzito. Dalili kwel niliziona nilikua nimesafiri nimerudi mm siamini kabisa huu ujauzito kwa hesabu zinagoma kabisa kweli.

Mtu anaweza toka siku zake mimba inase?

Ushauri jaman nisije bambikiwa WanaJF.
Refer mahubiri ya Gwajima,"WATOTO WA DAWA," mmemkaribisha shetani rasmi ndo migogoro inaanza hivyo hivyo
 
Unanikera hiyo pichaaa chafu kwanza toa hiyo picha ndo nkushauri
 
Naishi na mwanamke, tumekaa 3 years hatujajaliwa mtoto. Mwezi wa pili alipata msiba akaenda kwao akiwa kule alinipigia amepata bibi mtaalam wa tiba asili anampa dawa mwez wa 3 tarehe 7 akaniambia yupo siku zake, akamaliza tarehe 11. Tarehe kumi na 5 akaja tukashiriki tendo kama kawaida tarehe 5 a kanuna kipimo kajipima akaniambia ni mjamzito. Dalili kwel niliziona nilikua nimesafiri nimerudi mm siamini kabisa huu ujauzito kwa hesabu zinagoma kabisa kweli.

Mtu anaweza toka siku zake mimba inase?

Ushauri jaman nisije bambikiwa WanaJF.
Lea mimba ila mwambie huyu mtoto akizaliwa d.n.a lzm kma Tiffa wa Zari uone atalipokeaje. Pia kama alianza siku tarehe 3 akaja 15 ni sawa kbs maana 15-3=12-4za period =8 so mlifanya siku ya 8 na siku ya 8 ndio yai linaanza kupevuka kama limewahi ila saana sana ya 9 linakuwa tyr na kwa siku ya 8-13 ni mtoto wa kike.
Waliosoma sayansi nadhani mnanielewa kwenye xy na yx.

Hapo haswa ujui imenasa siku ya ngapi ila unajua ni mwezi upi its fine mtoto atazaliwa kila kitu kitakaa open.
 
Lea mimba ila mwambie huyu mtoto akizaliwa d.n.a lzm kma Tiffa wa Zari uone atalipokeaje. Pia kama alianza siku tarehe 3 akaja 15 ni sawa kbs maana 15-3=12-4za period =8 so mlifanya siku ya 8 na siku ya 8 ndio yai linaanza kupevuka kama limewahi ila saana sana ya 9 linakuwa tyr na kwa siku ya 8-13 ni mtoto wa kike.
Waliosoma sayansi nadhani mnanielewa kwenye xy na yx.

Hapo haswa ujui imenasa siku ya ngapi ila unajua ni mwezi upi its fine mtoto atazaliwa kila kitu kitakaa open.
alianza 7 mkuu akaja 15 mwez wa 3 tarehe 4 mwez wa 4 "akapima akakuta ana mimba ya 2 weaks
 
Back
Top Bottom