Ushauri jamani

Ushauri jamani

Amekuchoka na hakutaki ndo maana ameweka picha ya mkewe na wanawe FB ili ujue kuwa yeye ana familia. Pole lakini huo ndo ukweli, alishindwa kukuambia live kaona akupe ujumbe huko huko Fb. Vipi lakini status yako ilikuwaje FB?Au ndo zile 'In an open relationship with....' Kama vipi fanya fasta ubadili status yako mana daaah!!!

Fb aliyeweka ni mkewe si yeye but alitoa status ktk wachangiaj kuja kuangalia mmjoa mwanamke kumfatilia ndo nikagundua ni mkewe kaweka picha zao na watoto
 
Tatizo bado nampenda na yeye ananipenda sana tena sana

Acha ubwege dogo. Hayo sio mapenzi, ni kupagawa na penzi. Ndo penzi lako la kwanza. Jipe nafasi nyingine. Kama anakupenda nenda ukawe mke wa pili na ulee watoto wake wawili uku ukizipiga na bi mkubwa.
 
Hakupend ndo sababu alikudanganya......angekuwa anakupenda angekuwa mkwel kwako....
 
Umemjua kwa muda gani? Ni kwamba umemparamia. Na yeye anakutumia. Kwanza kakudanganya kuhusu ndoa, watoto na dini pia. Kikubwa kaidanganya hadi familia yako. Cha kufanya, achana naye, mme wa mtu huyo, au kama uko tayari kuwa na mtu mwenye watoto wawili tayari, kila la kheri ila sikushauri hivyo. Una miaka ishirini, bado mdogo sana wewe!!Taratibu utapata wako. Huyo mtoe akilini, Ni mme wa mtu pia kawadanganya wote kwenye familia yako. HAFAI.

Ni miaka miwili sasa mkuu but no way inabidi niachane nae tu
 
Fb aliyeweka ni mkewe si yeye but alitoa status ktk wachangiaj kuja kuangalia mmjoa mwanamke kumfatilia ndo nikagundua ni mkewe kaweka picha zao na watoto

Kizuri umeshaambiwa, ana watoto na mke. Kwa hiyo tumia akili yako nini ufanye. Usipoteze muda una 20. Asije akakuharibu na kukufungia fursa zingine.
 
Tatizo bado nampenda na yeye ananipenda sana tena sana
yani mpaka hapo bado unaona unapendwa.....?......atakupa mimba akukimbie ubaki kuangaika na mtoto.....tulia achana na huyo mme wa mtu atakuharibia maisha bure.....
 
u should leave him unless you want to be lied to and a second priority all your life coz alianza na uongo even the end will be the same. ps;if he loved you angeweka picha yako fb,wake up he's a player and you were just his playing field.
 
u should leave him unless you want to be lied to and a second priority all your life coz alianza na uongo even the end will be the same. ps;if he loved you angeweka picha yako fb,wake up he's a player and you were just his playing field.

Thanx mummy!
 
Miss love acha utoto,umetoka kwenye broken family elimu yenyewe huna umeri 20 unataka mapenzi?
 
Back
Top Bottom