Ushauri jamani

Ushauri jamani

mmmmh kimbia bila kugeuka nyuma......!!! we mwenyewe ukipima hapo unaona kuna future kweli????? ukimpa chance ya kujitetea atakwambia anakupenda na atakuoa japo mke wa pili!! CHAKA HILO!!!
 
hahahah huu ni zaidi ya unafki sasa mkuu wa nnchi haoni ndani ule ukomandoo ulionifanyia si mchezo

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha

Acha hizo bana ujue siku hizi nimepewa umwenyekiti wa mtaa nashughulikia mgogoro kati ya wakulima na wafugaji, Nafikiri mazingira ya huku porini kwetu unayajua, ila usijali tuko pamoja one day yes,!
 
mwambie hivi ....its over between me and you... and hell its a better place for you i mean him

mhm mapya mie najua wee unapenda vidume wanao hudumia na jamaa ana hudumia kisawa nikajua utampa ushauri wa kuendelea nae amchune
 
Kumbe hata jina lake nilidanganywa nikajiona nimependwa nasiwezi achwaa..............................pole bahna wakina yahaya ni wengi hapa town tena mtupilie mbali uyoo kaa shombo la samaki anuke uko jalalani!
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha

Acha hizo bana ujue siku hizi nimepewa umwenyekiti wa mtaa nashughulikia mgogoro kati ya wakulima na wafugaji, Nafikiri mazingira ya huku porini kwetu unayajua, ila usijali tuko pamoja one day yes,!

hahahha sawa mr chairman kimya kikizidi nahamia airtel lol
 
mmmmh kimbia bila kugeuka nyuma......!!! we mwenyewe ukipima hapo unaona kuna future kweli????? ukimpa chance ya kujitetea atakwambia anakupenda na atakuoa japo mke wa pili!! CHAKA HILO!!!

Ni kweli maana mpaka dini kanidanganya
 
Back
Top Bottom