Ushauri jamani

Ushauri jamani

Kiukweli usipokua na msimamo dunia inaweza kukupeleka kokote kule hata jalalani na ukajishangaa umefikaje
'
Unatakiwa ujiulize unataka nini,wewe umepata wakukuoa,hautaki ndoa?
'
Ulieachana nae unataka akuharibie mipango yako ya maisha?
'
Acha utoto!
 
Kwa maelezo uliyotoa hapo, nakushauri usioane na huyu wa sasa muepushie matatizo, kuoana na mwanamke asiye na msimamo kama wewe ni matatizo makubwa maishani, kwa wengine ndoa ni mara moja tu haturuhusiwi kuoa mara ya pili. Nakushauri rudi tu kwa X wako kwa sababu huyu wa sasa haumpendi na hauko tayari kuishi nae katika ndoa.

Siku hizi mkuu ipo sana. Mnapandishana altareni kwa sababu tu mmepata wa kuoa na kuolewa naye.
Uliyempenda mara nyingi vigezo vya kumpandisha altareni,vinakuwa havitoshi.. Pengine hapendwi na jamaa zako,au elimu yake ni ya la saba,au kazi yake haimlipi,pengine kazi hana kabisa..mambo kama hayo.
Mwache aolewe,atakuja juta akimrudia ex wake.
 
Naona ameshapata ushauri mzuri tu toka kwa wadau hapo chini.
Ninachoweza kuongezea tu ni kuwa the devil is at work; na anamtumia huyo ambaye alikuwa too busy to look for you kuharibu familia (kanisa la kwanza) tarajiwa.

Sasa if she want to let the devil win, awasiliane na huyo X; lkn kama anataka kumshinda; basi afunge na kusali hizo nge za kijinga zitayeyuka kama barafu kwenye jua kali la kitropiki.

Unaonaje akitembelea site ya Ex?
Hata kujuliana hali ni makosa!!
 
kuwa makini katika maamuzi,, acha tamaa unyosha mapenzi ya kweli bila ya kusahau kuomba mungu mana kama mke mwema hutoka kwa bwana basi hata mume mwema hutoka kwa bwana shinda vishawishi..
 
Go a head mamyto! 5 years bila mawasiliano ni mingi,,
 
Wanajf habarini za jioni, naombeni ushauri wenu katika hili please maana sijielewi,
Mimi ni mdada mwenye mchumba na soon this year tunatarajia kufunga ndoa, kabla sijampata huyu mchumba nilikuwa na boyfriend ambaye tuliachana pasipo ugomvi na nadhani hii ilichanngiwa na distance tulokuwa nayo coz yy alikuwa mza kwa mda mrefu nami nikiwa dar chuo. Tulipoteza mawasiliano almost 5 yrs sasa hatujawasiliana. Last week dadangu alinipigia kuniarifu kuwa amekutana na my ex akiwa site kwake nje ya mji kdg ambapo dadangu naye anaishi huko, aliniambia kuwa my ex alimwomba namba yangu coz anataka turudiane na kwamba amenitafuta siku nyingi bila mafanikio but sister aliogopa kumpa coz anajua anaweza kuharibu hii mipango mingine. Tatizo langu ni kwamba tangu niliposikia habari zake nimejikuta kumpenda sana my ex natamani nionane naye yaani mawazo juu yake hayaishi kichwani mwangu najaribu kujisahaulisha but nashindwa. Wanajamii nisaidieni nifanyeje wapendwa?

Wakatia unapojibu maswali haya zingatia eneo nililowekwa RED
1) Wewe ni site ndio ilikupa kiwewe? au ?
2)Je wewe unampenda kweli huyo ulie nae?
3) Kuna haja gani ya kurudi nyuma na kuanza kumwazia Ex wakati mmeshaweka malengo mengi na huyo ulie nae sasa hivi?
4)Ukiitwa limbukeni wa mapenzi utakataa?
 
Yogati
mi ni mwalimu huwa napenda mwanafunzi avumbue jibu kwa maswali !so please be my student mamii jus for now u hata zaidi ukipenda.
-huyo mwanaume unayetaka kuolewa naye unahisi hastahili kuwa mumeo?
-huyo mwanaume uliyeachana naye unaamini ni umbali tu uliowafanya muaachane hakuna lingine?
huwa siamini sasna kwenye hii sasabu ya umbali kuwaachanisha wanaopendana kwa dhati!
-nini vigezo vyako kwa mwanaume uaminiye ndiye mume sahihi?
-unaamini nini katika tafsiri ya ndoa na mali tumilikizo/tulizokuta wenzi wetu wanamiliki!
-unaweza ukatafakari kwa undani mahusiano kati yako na dada yako,ni mtu wa aina gani?
nijibu maswali haya thn tuendelee mpenzi!maisha sio magumu hivo ni uchaguzi wa maisha tu tuyatakayo!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Yogati,

Natofautiana kidogo na baadhi ya wachangiaji kuwa wewe kueleza kuhusu 'site' ya mpenzi wako wa zamani ndiyo sababu tosha ya kukufanya 'umtake'..maana ninaitafsiri(ni ukaribu fulani ndani ya mji mmoja(city) wenye kukufanya utake kumuona kila leo! yaani kuwepo hapo jirani kunakufanya ushawishike zaidi kutaka kumuona kuliko alipokuwa Mwanza kama zamani.


Hata hivyo kuna vitu unapaswa kuzingatia.

1. Kwanini mliachana na huyo mpenzi wako wa zamani?
-Kusema kirahisi tu, kuwa, "tuliachana bila ugomvi" haimaanishi mrudiane!Umesema kuwa 'umbali' ulichangia, ikimaanisha kulikuwa na sababu hasa kuu na si umbali.

2. Hisia zisizoeleweka.
-Kunatofauti kati ya Kupenda , Kutamani, Kukosa(Miss), na kukumbuka.
Sijui unamaanisha nini kati ya hivyo..lakini iwapo utasema kuwa unampenda naomba ujiulize haya,
-Huko 'kupenda' unakosema, kulikuwepo kabla au kumeanza baada ya kuambiwa na dada yako?
-Iwapo ungeletewa taarifa kuwa bado anakupenda tena ukiwa umeshaolewa ungeendelea kumchukulia hivyo?
-Unategemea nini kwa mchumba wako wa sasa iwapo akijua kuwa unataka kuanzisha mahusiano based on hisia usizozielewa tena wakati wa uchumba?.

3. Tabia:
- Je, unajua huyo mpenzi wa zamani alikuwa na mwenendo gani?
-Iwapo anataarifa kuhusu ndoa yako(presuming,since kama anakupenda na kutaka mrudiane ameshakufuatilia na kujua), Unadhani atakuchukuliaje wewe hasa MSIMAMO wako kupitia suala tu la kutaka kuonana kwa haraka namna hiyo?

'Memories'..tulia, tazama unataka nini..kisha chukua uamuzi lakini so far, endelea na mipango yako ya ndoa maana yaliyopita si ndwele! Ukisema kila mtu amrudie mpenzi wake kwa sababu tu hawakuachana kwa ugomvi, kuna watu watamiliki mtaa/vijiji.

Goodluck.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Yogati,

Natofautiana kidogo na baadhi ya wachangiaji kuwa wewe kueleza kuhusu 'site' ya mpenzi wako wa zamani ndiyo sababu tosha ya kukufanya 'umtake'..maana ninaitafsiri(ni ukaribu fulani ndani ya mji mmoja(city) wenye kukufanya utake kumuona kila leo! yaani kuwepo hapo jirani kunakufanya ushawishike zaidi kutaka kumuona kuliko alipokuwa Mwanza kama zamani.


Hata hivyo kuna vitu unapaswa kuzingatia.

1. Kwanini mliachana na huyo mpenzi wako wa zamani?
-Kusema kirahisi tu, kuwa, "tuliachana bila ugomvi" haimaanishi mrudiane!Umesema kuwa 'umbali' ulichangia, ikimaanisha kulikuwa na sababu hasa kuu na si umbali.

2. Hisia zisizoeleweka.
-Kunatofauti kati ya Kupenda , Kutamani, Kukosa(Miss), na kukumbuka.
Sijui unamaanisha nini kati ya hivyo..lakini iwapo utasema kuwa unampenda naomba ujiulize haya,
-Huko 'kupenda' unakosema, kulikuwepo kabla au kumeanza baada ya kuambiwa na dada yako?
-Iwapo ungeletewa taarifa kuwa bado anakupenda tena ukiwa umeshaolewa ungeendelea kumchukulia hivyo?
-Unategemea nini kwa mchumba wako wa sasa iwapo akijua kuwa unataka kuanzisha mahusiano based on hisia usizozielewa tena wakati wa uchumba?.

3. Tabia:
- Je, unajua huyo mpenzi wa zamani alikuwa na mwenendo gani?
-Iwapo anataarifa kuhusu ndoa yako(presuming,since kama anakupenda na kutaka mrudiane ameshakufuatilia na kujua), Unadhani atakuchukuliaje wewe hasa MSIMAMO wako kupitia suala tu la kutaka kuonana kwa haraka namna hiyo?

'Memories'..tulia, tazama unataka nini..kisha chukua uamuzi lakini so far, endelea na mipango yako ya ndoa maana yaliyopita si ndwele! Ukisema kila mtu amrudie mpenzi wake kwa sababu tu hawakuachana kwa ugomvi, kuna watu watamiliki mtaa/vijiji.

Goodluck.
una akili wewe!
unanidai dompo ujue!
 
Kwahiyo tuseme mmerudiana,.. Sasa nikuulize zikitokea circumstance za kuwa mbali tena na huyo X Wako utaachana nae na kutafuta mwengine wa karibu zaidi??
 
Dada haya ni mapenzi;fuata moyo wako ila kuwa mwangalifu isije kuwa huyo x wako kashapata mtu ila amekumbuka mavituz yako uliyokuwa unampa so anataka kuonja tena na wala hana mpango wa muda mrefu na wewe;
 
umempenda kwa kua umesikia ana site yake ambayo bila shaka ni mjengo,komaa na huyo huyo uliyenaye mpaka na nyie muwe na site yenu
 
huna jipya ww mwanmke tamaa tu zimekujaa umesikia ur x ana site it means ana life poa kuliko huyo boyfriebd wako wa sasa unajishaua et u av gd memories abt him acha tamaa go on with ur mission
 
uchumba unavunjwa ndoa hauvunjiiiiiiiii...tafuta upendalooooooooo kaa na ex mwambie usikiee anamalengoo asije kukuingiza chakaaaa...pia ucje tembea nje ya ndoa hairishaaaa mipango upate hakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom