PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,999
Kuna mshkaji wangu mmoja tulisoma wote. Katika harakati za kutafuta maisha tukawa tumepotezana kidogo. Jirani kidogo na nnapoishi kuna jamaa tumezoeana anaishi na familia. Na hasa mazoea yalianza kwa sababu mke wake huwa kwenye shughuli za utafiti huwa tumewahi kukutana mara kadhaa (Ila tunafanya kazi kwenye fields mbalimbali kabisa). Ikawa sasa jamaa kwenye shughuli nyingi za kijamii tunakutana na hata kuwa kwenye magroup ya social na hatimaye tukawa kwenye kugonga moja hot na washkaji tupo group moja.
Kipindi flani nyuma tulikua mkoa fulani kwa issues za kutafuna donor funds(maendeleo endelevu). Tulikutana taasisi mbalimbali na hata private companies. Mke wa jirani alikuwepo. Kukawa na rumors analala rum moja na bosi wake fulani hotelini(Yani bi dada hatumii hela ya accomodation if u catch my drift).
Kuna siku tulikuwa chimbo na masela mara yule bosi akaingia akakaa kona flani. Mara kidogo mke wa jirani kaletwa na boda. Kaenda kukaa kona na mshkaji. muda wote hawatuoni (Kwanza boss hatujui vizuri). Wakapeana vinavyodhihirisha hadharani kuwa sirini wanajuana. Nikacomfirm mke wa msela anamegwa. I didn't mind na nikapuuzia hiko kitu.
Kwenye semina hiyo hiyo nikakutana na yule mshkaji wa mwanzo tuliyesoma naye. Hapo yeye ni dereva wa boss wa taasisi fulani. Tulipiga story sanaa, akagusia kuna demu pale ni ex wake anamuwinda akumbushie. Baadae nikaja kujua ni mke wa yule jirani. Nikamwambia mshkaji wangu sasa hivi huyu kaolewa achana naye.
Yakaisha. Jamaa kapiga story na madereva wenzie wakamtonya yule analiwa na boss wake. Jamaa akaja kuniambia, hata kama huyu demu ana mume mbona anamegwa tu. Akaahidi kupambana, nikamwambia usije kuniambia chochote kuhusu yeye. Basi wakati wa kurudi toka mkoa huo, kwenye gari letu tunafanya review ya vilivyojiri, dereva wetu akatuhadithia jinsi dereva mwenzie (yule mshikaji), alivyokuwa anakula sahani moja na bosi fulani hadi wakatishiana maisha. Hapo sasa ndo nikafahamu yule mshkaji alifanikiwa.
Muda ukapita yule jirani yangu akafanya tukio (kupiga mkwanja) ofisini kwao akasimamishwa kupisha uchunguzi. Akawa yuko tu home, mkewe dharau kama zote. Nikawa namshauri avumilie tu, maana hakuna namna. Kuna kipindi akawa anahisi anamegewa, ila sikumwambia chochote. Katika watu tulio kwenye social group kuna jamaa akatuambia mke wa jirani analiwa na boss wake (Mhusika hakuwepo), ila wote tukakausha. Sasa jamaa(jirani) kwenye kupiga hela kuna vitu alimwambia mkewe.
Kuna siku mkewe kachelewa bila sababu yenye mashiko jamaa kamchapa makofi. Mkewe kesho yake akampigia simu mtu fulani kwenye kampuni ya mumewe akamueleza mishe jamaa alizopiga. Jamaa kesi na kazi ndo akafukuzwa. Tukajiorganise tukaongea na kampuni chini chini tukachanga kiasi kidogo, na jamaa naye akatoa kampuni ikamchomoa jamaa kwenye kesi coz uhusika wake ulikua mdogo sana.
Baadaye jamaa katika ugomvi na mkewe akaja jua mkewe alimchomea. Ss jamaa kuja kutuelezea washkaji wakawa wanamshauri ampige biti mkewe kisha wayajenge. Mi nlikuwa na hasira zangu nikamwambia jamaa, ingekuwa mimi ndo mke wangu ningepiga chini sasa hiv *****(pardon my french). Basi siku zikaenda, jamaa kasettle na mkewe maisha yakasonga.
Kipindi flani baadae mke wa jirani alipata msiba, tukaenda kama ilivyo ada ya ujirani/urafiki. wamemaliza msiba siku ya pili wakawa wanarekebisha matatizo ya ukoo na kupatanisha hapa na pale. Sisi wengine ikawa ni story tu tukisubiri kusepa.
Dada yake jamaa akanifata akiwa na hasira akilalamika kaka yake anakubalije matatizo ya ndoa kujadiliwa ukweni? Na akagusia jinsi ghafla nilivyoonekana sumu kutaka kuvunja ndoa takatifu. Na kweli nilitazamwa vibaya sana pale msibani ctakuja sahau! Kumbe jirani alimwambia mkewe ushauri wangu, mkewe akawa kajenga beef. Kila nikikumbuka kuonekana snitch mbele ya jamii dah!
Basi ndo ivo hata cku izi mtaani kuna wamaza wakinicheck wananiona snitch tu yani! Ss nashikwa na hasira balaa
Kipindi flani nyuma tulikua mkoa fulani kwa issues za kutafuna donor funds(maendeleo endelevu). Tulikutana taasisi mbalimbali na hata private companies. Mke wa jirani alikuwepo. Kukawa na rumors analala rum moja na bosi wake fulani hotelini(Yani bi dada hatumii hela ya accomodation if u catch my drift).
Kuna siku tulikuwa chimbo na masela mara yule bosi akaingia akakaa kona flani. Mara kidogo mke wa jirani kaletwa na boda. Kaenda kukaa kona na mshkaji. muda wote hawatuoni (Kwanza boss hatujui vizuri). Wakapeana vinavyodhihirisha hadharani kuwa sirini wanajuana. Nikacomfirm mke wa msela anamegwa. I didn't mind na nikapuuzia hiko kitu.
Kwenye semina hiyo hiyo nikakutana na yule mshkaji wa mwanzo tuliyesoma naye. Hapo yeye ni dereva wa boss wa taasisi fulani. Tulipiga story sanaa, akagusia kuna demu pale ni ex wake anamuwinda akumbushie. Baadae nikaja kujua ni mke wa yule jirani. Nikamwambia mshkaji wangu sasa hivi huyu kaolewa achana naye.
Yakaisha. Jamaa kapiga story na madereva wenzie wakamtonya yule analiwa na boss wake. Jamaa akaja kuniambia, hata kama huyu demu ana mume mbona anamegwa tu. Akaahidi kupambana, nikamwambia usije kuniambia chochote kuhusu yeye. Basi wakati wa kurudi toka mkoa huo, kwenye gari letu tunafanya review ya vilivyojiri, dereva wetu akatuhadithia jinsi dereva mwenzie (yule mshikaji), alivyokuwa anakula sahani moja na bosi fulani hadi wakatishiana maisha. Hapo sasa ndo nikafahamu yule mshkaji alifanikiwa.
Muda ukapita yule jirani yangu akafanya tukio (kupiga mkwanja) ofisini kwao akasimamishwa kupisha uchunguzi. Akawa yuko tu home, mkewe dharau kama zote. Nikawa namshauri avumilie tu, maana hakuna namna. Kuna kipindi akawa anahisi anamegewa, ila sikumwambia chochote. Katika watu tulio kwenye social group kuna jamaa akatuambia mke wa jirani analiwa na boss wake (Mhusika hakuwepo), ila wote tukakausha. Sasa jamaa(jirani) kwenye kupiga hela kuna vitu alimwambia mkewe.
Kuna siku mkewe kachelewa bila sababu yenye mashiko jamaa kamchapa makofi. Mkewe kesho yake akampigia simu mtu fulani kwenye kampuni ya mumewe akamueleza mishe jamaa alizopiga. Jamaa kesi na kazi ndo akafukuzwa. Tukajiorganise tukaongea na kampuni chini chini tukachanga kiasi kidogo, na jamaa naye akatoa kampuni ikamchomoa jamaa kwenye kesi coz uhusika wake ulikua mdogo sana.
Baadaye jamaa katika ugomvi na mkewe akaja jua mkewe alimchomea. Ss jamaa kuja kutuelezea washkaji wakawa wanamshauri ampige biti mkewe kisha wayajenge. Mi nlikuwa na hasira zangu nikamwambia jamaa, ingekuwa mimi ndo mke wangu ningepiga chini sasa hiv *****(pardon my french). Basi siku zikaenda, jamaa kasettle na mkewe maisha yakasonga.
Kipindi flani baadae mke wa jirani alipata msiba, tukaenda kama ilivyo ada ya ujirani/urafiki. wamemaliza msiba siku ya pili wakawa wanarekebisha matatizo ya ukoo na kupatanisha hapa na pale. Sisi wengine ikawa ni story tu tukisubiri kusepa.
Dada yake jamaa akanifata akiwa na hasira akilalamika kaka yake anakubalije matatizo ya ndoa kujadiliwa ukweni? Na akagusia jinsi ghafla nilivyoonekana sumu kutaka kuvunja ndoa takatifu. Na kweli nilitazamwa vibaya sana pale msibani ctakuja sahau! Kumbe jirani alimwambia mkewe ushauri wangu, mkewe akawa kajenga beef. Kila nikikumbuka kuonekana snitch mbele ya jamii dah!
Basi ndo ivo hata cku izi mtaani kuna wamaza wakinicheck wananiona snitch tu yani! Ss nashikwa na hasira balaa