Jamani mi nimechaguliwa B.scie.in wildlife management ila tatizo kwamba sikuichagua na ni non-priority.
Sasa naomba ushauri nifanyeje ili niweze kupata faculty yenye mkopo.
Pia niliambatanisha na taarifa zangu za ulemavu ktk loan je loanboard watanifikiria hapo kweli?
Sasa naomba ushauri nifanyeje ili niweze kupata faculty yenye mkopo.
Pia niliambatanisha na taarifa zangu za ulemavu ktk loan je loanboard watanifikiria hapo kweli?