Ushauri jamani!!!

Sir.Chemi

Member
Mar 18, 2012
51
1
Jamani mi nimechaguliwa B.scie.in wildlife management ila tatizo kwamba sikuichagua na ni non-priority.
Sasa naomba ushauri nifanyeje ili niweze kupata faculty yenye mkopo.
Pia niliambatanisha na taarifa zangu za ulemavu ktk loan je loanboard watanifikiria hapo kweli?
 
Back
Top Bottom