mrs fiance
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 352
- 163
- Thread starter
- #21
mda anao wa kutosha.ila hata kuweka wazi mahusiano nayo apewe mda.?atakua hajajipanga bado kulea mpe mudaa kwani unakaribia menopause?
mda anao wa kutosha.ila hata kuweka wazi mahusiano nayo apewe mda.?atakua hajajipanga bado kulea mpe mudaa kwani unakaribia menopause?
hamia kwangu nikukunje vilivyo had 2pate mtoto kumtunza jukumu langu karibu sana.mm ni msichana Nina mpemzi ambae nimedumu nae mda mrefu ila tunakaa kila MTU kivyake. Sasa mm kwa kweli napenda niwe na Mtoto Sana. nikamuomba mwenzangu tuzae Mtoto. cha kushangaza analeta sababu hata hazina maana. Mara ohooo. nakuonea huruma wakati wa kuzaa, Mara oho mda bado,Ananionea huruma wakati mimba nabeba mm kweli.sina Tabia ya kuchepuka tu na nimuaminifu kwake asilimia 100%.Laiti ningekuwa nachepuka ningeshampata pengine mwanaume ambae tunaweza tukafanya mambo ya maana. Kama kuoana na kupata Mtoto.maana huyu mpenzi Wangu kwa Tabia zake hizi. nakuwa na mashaka nae.Kwa mfano mm ninaweza nikaweka pic zake instagrm ,na ninazo. ila yeye kuweka pic yangu moja tu ilikuwa ni ishu.mpaka tukagombana.kiukweli nlikiwa na imani nae Sasa inaanza kupotea.Na naona anataka nianze japo mazoea na wanaume maana yeye anaeeza asinioe kwa hiyo. hata nikimpata mwingine nimuache Kama alivyo.NIMEKUWA MWAMINIFU KWAKE MPAKA NAJISHANGAA.Na ni mbinafsi hatari, mpaka nasema huyu kweli atanifaa.?Hata kutambulishana rasmi hataki. japo wazazi wanafahamu ile ya juujuu tu kwamba tunamahusiano.Naina Kama atanipotezea mda tu.
Mwanamke unayelilia kuwekwa picha zako instagram unajiona ni wa kawaida?Hujaeleweka mkuu.nitafsirie
Asante kwa ushauri naufanyia kaziDada, shtuka. Huyo hakupendi, kuna mtu mwingine anafikiriwa hapo na anajitahidi kuwalinganisha, kumbuka siku hazigandi, utatumika halafu uachwe, jamaa achukue kitu kipya. Nakushauri ujaribu kumwambia kuwa kama hayuko tayri kwa yote hayo mawili; ndoa au mtoto muachane, atasemaje, ukiona hajashtuka, utatakiwa kushtuka wewe.
Yani mtu una mashaka naye 100 ila bado unataka umzalie mtoto, yani wewe binti ndo unamuomba mzae mtoto. ...... wewe binti wewe, umejiandaa vizuri lakini kuwa single mother? Kesho na Kesho kutwa utaanza kuplay victim oooh kanitelekeza, sijui kafanyaje. Usikurupuke please
Asante kwa ushauriYani mtu una mashaka naye 100 ila bado unataka umzalie mtoto, yani wewe binti ndo unamuomba mzae mtoto. ...... wewe binti wewe, umejiandaa vizuri lakini kuwa single mother? Kesho na Kesho kutwa utaanza kuplay victim oooh kanitelekeza, sijui kafanyaje. Usikurupuke please
asantehamia kwangu nikukunje vilivyo had 2pate mtoto kumtunza jukumu langu karibu sana.
huwa sipendi nimtegeshee.napenda akubali tu mwenyewe
Ni moja Kati ya kutambulishana mkuu. kwani wote wanaowekwa si wa kawaida?Mwanamke unayelilia kuwekwa picha zako instagram unajiona ni wa kawaida?
kufanya nn?aisee kwa jibu hilo...ebu njoo pm achana na huyo mdwanzi
Yani hizo red flags tu anazozitoa ni hadi anajiuliza "je huyu atanifaa", ila still yeye anataka na mtoto juu... kuna vitu tunavitamani but sio lazima tuwe navyo Kwa wakati tunaotaka. Ashukuru huyo kaka hataki kumtengeneza single mother mwingine. Nahisi bado ni mtoto huyuAkikua ndiyo atakuelewa, hapa anatumia akili za kitamthilia, kinstagram, Ki-baby
nikupe unachotakakufanya nn?
Ni moja Kati ya kutambulishana mkuu. kwani wote wanaowekwa si wa kawaida?
Ameen.nashukuru kwa ushauriusije taka ndoa kwa pupa,Usikimbilie mme ukaukondesha moyo.....mtoto ni baraka na furaha ya familia wala halazimishwi muda ukifika utapata mtoto kwa mume anaekustahili
picha mkuu maneno mengi hayana tija.mm ni msichana Nina mpemzi ambae nimedumu nae mda mrefu ila tunakaa kila MTU kivyake. Sasa mm kwa kweli napenda niwe na Mtoto Sana. nikamuomba mwenzangu tuzae Mtoto. cha kushangaza analeta sababu hata hazina maana. Mara ohooo. nakuonea huruma wakati wa kuzaa, Mara oho mda bado,Ananionea huruma wakati mimba nabeba mm kweli.sina Tabia ya kuchepuka tu na nimuaminifu kwake asilimia 100%.Laiti ningekuwa nachepuka ningeshampata pengine mwanaume ambae tunaweza tukafanya mambo ya maana. Kama kuoana na kupata Mtoto.maana huyu mpenzi Wangu kwa Tabia zake hizi. nakuwa na mashaka nae.Kwa mfano mm ninaweza nikaweka pic zake instagrm ,na ninazo. ila yeye kuweka pic yangu moja tu ilikuwa ni ishu.mpaka tukagombana.kiukweli nlikiwa na imani nae Sasa inaanza kupotea.Na naona anataka nianze japo mazoea na wanaume maana yeye anaeeza asinioe kwa hiyo. hata nikimpata mwingine nimuache Kama alivyo.NIMEKUWA MWAMINIFU KWAKE MPAKA NAJISHANGAA.Na ni mbinafsi hatari, mpaka nasema huyu kweli atanifaa.?Hata kutambulishana rasmi hataki. japo wazazi wanafahamu ile ya juujuu tu kwamba tunamahusiano.Naina Kama atanipotezea mda tu.