Ushauri: Dada yangu ananiomba sana Pesa

Ushauri: Dada yangu ananiomba sana Pesa

Wakuu habari. Dada angu tunashare mama amekua ananiomba sana pesa sio kwamba sipendi but imekua too much sana. Akiwa hana pesa ya vikoba sijui michezo yao wanajua wenyewe lazima anichek nitampa anaweza sema nimkope but huwa simdai imeisha hyo.

Ameolewa na ana wtt wa2 Ila cha kushangaza shemej yangu yupo vizuri anafanyia kazi Taasisi kubwa tu huko chugga. Yeye kama yeye ana biashara zake za saloon zinamwingizia pesa.

Nawaza mimuulize pesa anazopata kwenye busn anafanya nn au shem hatoi matunzo? Naona kama haitakuwa sawa, honestly yeye ndo anatakiwa kunisave dg lake yeye kama yeye maisha katoboa tyr.

Nipeni ushauri hapa bandugu.
Bingwa wa familia wewe..
Sasa nawe mjaribu kwa kumtest!!! Mwambie kuwa umekwana na upo hatarini ( hospital kwa matibabu au upo Polisi unadaiwa..nk nk) Say naomba pesa kama 1m !!
Hapo ndo utajuwa sura na moyo wa sista!!
 
Ukitaka kufa masikini endekeza hayo mambo ya kutoa toa, wana kamsemo kao,'unavyotoa ndio unafanikiwa' hiyo ni batili; ila Sayansi inakuambia weka akiba kwa ajili ya uwekezaji wako, na utajiri uko mbeleni kama utafanya hivyo. Kuendelea kutoa sehemu yoyote ile bila kuwa na tija ni unyonyaji.
 
Kutoa ni moyo.
Kama unatoa huku unasononeka haina maana.
Akiomba next time mwambie kuwa pesa zako una kazi nazo fulani. Ukirudia hivyo mara mbili tatu ataelewa kuwa hutaki ataacha kukubomu.
Ila kama una hela ya ziada kumpa dada yako sio mbaya vile anavyoshukuru ndio na wewe unapata zaidi.
 
uyo si wa kusaidia kwani yeye pesa zake uwa anakupa alafu kingine umesema ana misaluni kibao na vyanzo vingine vingi tu sasa kwa nini asumbue watu kiasi icho
 
Wakuu habari. Dada angu tunashare mama amekua ananiomba sana pesa sio kwamba sipendi but imekua too much sana. Akiwa hana pesa ya vikoba sijui michezo yao wanajua wenyewe lazima anichek nitampa anaweza sema nimkope but huwa simdai imeisha hyo.

Ameolewa na ana wtt wa2 Ila cha kushangaza shemej yangu yupo vizuri anafanyia kazi Taasisi kubwa tu huko chugga. Yeye kama yeye ana biashara zake za saloon zinamwingizia pesa.

Nawaza mimuulize pesa anazopata kwenye busn anafanya nn au shem hatoi matunzo? Naona kama haitakuwa sawa, honestly yeye ndo anatakiwa kunisave dg lake yeye kama yeye maisha katoboa tyr.

Nipeni ushauri hapa bandugu.

Jamani kwa visa hivi wanawake watatuamiani kweli?mbona tumekuwa maboya sana, hivi hata shoo mnaziweza kweli kama tunasumbuka na kuanika self manageable issues kiasi hiki, kwani nini uombe ushauri Jambo dogo kiasi hiki?Men please let's not lose our manhood. Daah!!
 
Ukitaka kufa masikini endekeza hayo mambo ya kutoa toa, wana kamsemo kao,'unavyotoa ndio unafanikiwa' hiyo ni batili; ila Sayansi inakuambia weka akiba kwa ajili ya uwekezaji wako, na utajiri uko mbeleni kama utafanya hivyo. Kuendelea kutoa sehemu yoyote ile bila kuwa na tija ni unyonyaji.

Hahaha
 
Kutoa ni moyo.
Kama unatoa huku unasononeka haina maana.
Akiomba next time mwambie kuwa pesa zako una kazi nazo fulani. Ukirudia hivyo mara mbili tatu ataelewa kuwa hutaki ataacha kukubomu.
Ila kama una hela ya ziada kumpa dada yako sio mbaya vile anavyoshukuru ndio na wewe unapata zaidi.

Sawa mama
 
Jamani kwa visa hivi wanawake watatuamiani kweli?mbona tumekuwa maboya sana, hivi hata shoo mnaziweza kweli kama tunasumbuka na kuanika self manageable issues kiasi hiki, kwani nini uombe ushauri Jambo dogo kiasi hiki?Men please let's not lose our manhood. Daah!!

Sio lazma ucomment unaweza pita shaaah
 
Kutoa ni moyo.
Kama unatoa huku unasononeka haina maana.
Akiomba next time mwambie kuwa pesa zako una kazi nazo fulani. Ukirudia hivyo mara mbili tatu ataelewa kuwa hutaki ataacha kukubomu.
Ila kama una hela ya ziada kumpa dada yako sio mbaya vile anavyoshukuru ndio na wewe unapata zaidi.
Kweli kiimani huwa ukitoa ndipo ongezeko na neema hukurudia maradufu pasipo natarajio... Wazungu husema " be like a river not like reservoir "
Yaani uwe kama mto wa maji ni bora kuliko bwawa la maji taka!!
 
Hata kama hayanihusu naomba nikwambie kitu, wewe ni mtu wa imani ndogo uwezo mdogo wa kufikiri na hata hela unazo za karanga tu, sio issue ya kuuliza hapa hii ?

Unataka nani akuamulie pesa zako kwa ndg yako ? Kwa hiyo wakishauri usimpe au uendelee kumpa utafanya hivo bila akili yako? Siku nyingine andika vya akili aisee.
 
Mmh wapo wengi tu dada

Chanzo ni kuomba
siamini kama ni kweli, sema wanajiunga michezo isiyolingana na vipato vyao hivyo wanajikuta asilimia kubwa wanaomba. Kwamba hawana kabisa hilo nakataa
 
Mashangazi na mawifi huwa hawapatani,sijui tatizo ni nini? ukishakuwa na familia yako ndio utajua uliyekuwa unamsaidia yukoje....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom