Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Kama hana chanzo basi wewe ndio chanzo chakeHahahah ukiwa na mradi wa kukuingizia pesa huwezi kwama shida yenu mnategemea huruma zetu ME!
Unakwamaje, unakuta mtu anacheza mchezo wa 30k kila siku ila anategemea aombe ombe kwa watu hio biashara inaniboaga sana. Na unajua kabisa mtu kazi hana ila shobo zake tu kwani lazima ucheze?

