Ushauri: Course ipi nzuri ya kusomea kwa mchepuo wa CBG?

Ushauri: Course ipi nzuri ya kusomea kwa mchepuo wa CBG?

Status
Not open for further replies.

bajok

Senior Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
161
Reaction score
72
Wanajamvi naomba kuleta kwenu course hizi >>>> B.S in forestry, B.S in food science and technology, B.S in agricultural and natural resources economics and business, Environmental science, na Wild life management.

Nimehitimu kidato cha VI mwaka huu mchepuo wa CBG naomba ushauri wenu nisome ipi kulingana na soko la ajira pia uwezekano wa mkopo na ni chuo gani kitanifaa kwa hizo course???

Pia kama una ushauri wa course nyingine tofauti na hizo naomba msaada tafadhali ....
******Mungu akubariki********
 
Wanajamvi naomba kuleta kwenu course hizi >>>> B.S in forestry, B.S in food science and technology, B.S in agricultural and natural resources economics and business, Environmental science, na Wild life management.

Nimehitimu kidato cha VI mwaka huu mchepuo wa CBG naomba ushauri wenu nisome ipi kulingana na soko la ajira pia uwezekano wa mkopo na ni chuo gani kitanifaa kwa hizo course???

Pia kama una ushauri wa course nyingine tofauti na hizo naomba msaada tafadhali ....
******Mungu akubariki********
msaada jaman kwa hilo
 
Wanajamvi naomba kuleta kwenu course hizi >>>> B.S in forestry, B.S in food science and technology, B.S in agricultural and natural resources economics and business, Environmental science, na Wild life management.

Nimehitimu kidato cha VI mwaka huu mchepuo wa CBG naomba ushauri wenu nisome ipi kulingana na soko la ajira pia uwezekano wa mkopo na ni chuo gani kitanifaa kwa hizo course???

Pia kama una ushauri wa course nyingine tofauti na hizo naomba msaada tafadhali ....
******Mungu akubariki********
Matokeo yametoka kwani?
 
hapana ila ni kujiandaa tu ili wakat wa kuchagua faculty nisipanic
 
Kwanza subiria matokeo yatoke.
Kuna kozi zingine lazima ufaulu wako uwe vema ndo utachaguliwa. Kwa combination ya CBG nakushauri ukasome food science. Hiyo kozi inatolewa na Sokoine University of Agriculture (SUA). Mkopo utapata.
 
Kwanza subiria matokeo yatoke.
Kuna kozi zingine lazima ufaulu wako uwe vema ndo utachaguliwa. Kwa combination ya CBG nakushauri ukasome food science. Hiyo kozi inatolewa na Sokoine University of Agriculture (SUA). Mkopo utapata.
shukran mkuu
 
Hizo ulizoorodhesha ndo umezipenda au umeweka tu, Kama soko la ajira basi nenda kasome veterinary medicine(udaktari wa wanyama) BVM.
 
Hizo ulizoorodhesha ndo umezipenda au umeweka tu, Kama soko la ajira basi nenda kasome vetenary medicine(udaktari wa wanyama) BVM.
Vetenary medicine ni nzuri tena Sana. Unaweza kuajriwa au kujiajiri mwenyewe bila shida yoyote . inatolewa na SUA pia.
 
Bachelor of Science in Biotechnology and Laboratory Sciences

Bachelor of Science Food Science and Technology

Bachelor of Veterinary Medicine
 
usisahau div 3 form six never universities,only div2 na div1 comfrmed
 
nilikosea sorry ila ni hivi division 3 kuanzia mwaka huu hawaendi chuo kikuu inasemekana ni div1 na div2 tuu ndio watakaokwenda chuo kikuu
 
ishu sio mkopo kilichopo ni kwamba chuo kikuu ni lazima uwe na div1 na div2 ukipata div3 ina maana huna sifa za kusoma chuo kikuu achana na swala la mkopo
 
ishu sio mkopo kilichopo ni kwamba chuo kikuu ni lazima uwe na div1 na div2 ukipata div3 ina maana huna sifa za kusoma chuo kikuu achana na swala la mkopo
Nimekwambia weka source tujiridhishe? Mi nakujibu kwamba serikali imeshakanusha hiko ambacho umekisoma, ngoja nikuweke linki kuhusu tamko la serikali na wewe weka chanzo chako.
 
duuh oky ngoja tusubiri mwana hawa form six watakaochaguliwa mwaka huu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom