stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,826
- 22,935
Mie niliisha acha kwenda kazini na ki-low consumption changu long ago,maana kuna siku kilikuwa half tank nimetoka nacho ofisi kufika Kimara mwisho mafuta yamekauka wakati yalikuwa ni mafuta yangu ya siku 2 kwenda ofisi na kurudi home.Wacha kwanza nichange za Xmass na ada za watoto ntaanza kwenda nacho kazini kuanzia January.Kero ya foleni hapa ubungo ni balaa hususani kwa wakazi wa kimara,mbezi na kuendelea. Yani ubungo ndo kitovu cha foleni na ukizingatia na ujenzi unaoendelea tabu tupu. Ushauri wangu kwa wajenzi ktk eneo la ubungo hapa wajenge masaa 24 usiku na mchana ili wamalize tatizo hili sugu japo kidogo tu.