Founder Tz
Member
- Feb 20, 2022
- 47
- 129
Hello wakuu,
Nimepata idea ya business, Nafikiria kuagiza na kuuza mashuka ya quality, ukubwa na design tofauti na kuyauza kariakoo.
Niambieni, nishaurini, nikosoeni,
Je niko sawa? Mzunguko utakuwa mbovu? Au iko bomba?
Karibu
Nimepata idea ya business, Nafikiria kuagiza na kuuza mashuka ya quality, ukubwa na design tofauti na kuyauza kariakoo.
Niambieni, nishaurini, nikosoeni,
Je niko sawa? Mzunguko utakuwa mbovu? Au iko bomba?
Karibu