Seek Till Find
Member
- Feb 20, 2022
- 19
- 22
Hello Wadau,
Nafikiria kudeal na handbags za wadada aina tofauti sokoni kariakoo.
Kutokana na kodi kuwa kubwa za fremu nahitaji mauzo kuwa makubwa, je kwa hii idea iko sawa au itanichomesha mahindi?
Mitaa ipi ya Kariakoo inafaa kwa ajili ya biashara ya mikoba?
Na mengine mengi mtakayo niongezea nawakaribisha..
Nafikiria kudeal na handbags za wadada aina tofauti sokoni kariakoo.
Kutokana na kodi kuwa kubwa za fremu nahitaji mauzo kuwa makubwa, je kwa hii idea iko sawa au itanichomesha mahindi?
Mitaa ipi ya Kariakoo inafaa kwa ajili ya biashara ya mikoba?
Na mengine mengi mtakayo niongezea nawakaribisha..