Ushauri Biashara ya club

Ushauri Biashara ya club

Joined
Oct 22, 2024
Posts
36
Reaction score
27
Nimepata eneo nzuri jirani na barabara ya Dodoma. ukarabati utachukua kariba m8. Kuna eneo ĺa baa, jiko, chips, store na kwa kukaa hadi 100 wanakaa. Kodi lak7 je nauliza waziefu itajilipa au nitapoteza hela
 
Chakula

Wahudum

Ullinzi/uamiifu

Buurudani/dj,tv,Shows

Usafi/chakula na choo

Boss usitembee na mhudum

Vinywajj vya kistaarabu

Kauli/ kumbuka unauza vilevi..so mteja akilewa isitumike nguvu sana zaidi ya kauli au utaraatib mzuuri


0627474141
 
Back
Top Bottom