Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,470
- 41,609
Mkuu kuna kundi la wasomi wanaibuka sasa duniani wanasema hilo gonjwa 'its a myth'.. we piga tu. kila mtu atakufa bytheway....
No one is immortal.
Mkuu kuna kundi la wasomi wanaibuka sasa duniani wanasema hilo gonjwa 'its a myth'.. we piga tu. kila mtu atakufa bytheway....
Wa salaam wakuu,
Nimekuwa nikimfuatilia binti fulani kwa mwaka sasa. Kusema kweli binti ni mzuri, binti akaanza kunielewa leo nimemuita ghetto akaja, ile tupo kwenye maandalizi nikashtuka kuona mtoto anatokwa na machozi, nikapoteza mood yote ya mechi. Nikamsihi aniambie tatizo nini. Ndipo akaniambia kuwa yeye ni muathirika wa gonjwa lile la kisasa akanitolea na uthibitisho wa VTC.Akaniambia kuwa ananipenda sana na ndio maana kaniambia.
Wakuu nipo dilemma, naombeni ushauri;
-Je, niendelee nae mahusiano?
-Na je kuna njia ambayo naweza fanya nae tendo bila kuambukizwa?
Natanguliza shukrani
Interesting...
Mpaka leo hujui njia ambayo unaweza fanya nae tendo bila kupata maambukizi?! Aisee! Hata kama shule hukufundishwa hata elimu ya mtaani huna?Wa salaam wakuu,
Nimekuwa nikimfuatilia binti fulani kwa mwaka sasa. Kusema kweli binti ni mzuri, binti akaanza kunielewa leo nimemuita ghetto akaja, ile tupo kwenye maandalizi nikashtuka kuona mtoto anatokwa na machozi, nikapoteza mood yote ya mechi. Nikamsihi aniambie tatizo nini. Ndipo akaniambia kuwa yeye ni muathirika wa gonjwa lile la kisasa akanitolea na uthibitisho wa VTC.Akaniambia kuwa ananipenda sana na ndio maana kaniambia.
Wakuu nipo dilemma, naombeni ushauri;
-Je, niendelee nae mahusiano?
-Na je kuna njia ambayo naweza fanya nae tendo bila kuambukizwa?
Natanguliza shukrani
WEWE PIGA TU--USIHOFIE!!!Wa salaam wakuu,
Nimekuwa nikimfuatilia binti fulani kwa mwaka sasa. Kusema kweli binti ni mzuri, binti akaanza kunielewa leo nimemuita ghetto akaja, ile tupo kwenye maandalizi nikashtuka kuona mtoto anatokwa na machozi, nikapoteza mood yote ya mechi. Nikamsihi aniambie tatizo nini. Ndipo akaniambia kuwa yeye ni muathirika wa gonjwa lile la kisasa akanitolea na uthibitisho wa VTC.Akaniambia kuwa ananipenda sana na ndio maana kaniambia.
Wakuu nipo dilemma, naombeni ushauri;
-Je, niendelee nae mahusiano?
-Na je kuna njia ambayo naweza fanya nae tendo bila kuambukizwa?
Natanguliza shukrani
endelea nae si umesema mnapendana
Mnagegedana ivo ivo tu c mnapendana mkuuItakuaje sasa kuhusu kugegedana, mkuu?
Very interestingInteresting...