Wong Fei
JF-Expert Member
- Apr 13, 2016
- 4,817
- 6,442
Mshukuru sana Mungu wako, leo ungekuwa mojawapo la kundi la waliothirika na HIV
Mwanamke anapokukataa, muelewe wengine huwa wanania nzuri na maisha yako.
N.B
km unampenda mkuu, muone dr awashauri, na kuwa na ukimwi haimanishi ndiyo mwisho wa maisha au kutokuwa na ndoa. Unaweza hata kupata watoto wasiyo na HIV
Usimtenge wa kumnyanyapa sbb hujui kesho itakuwaje. Huyo kawa muwazi kwako, kesho utampata msiri, atakuambukiza
Mwanamke anapokukataa, muelewe wengine huwa wanania nzuri na maisha yako.
N.B
km unampenda mkuu, muone dr awashauri, na kuwa na ukimwi haimanishi ndiyo mwisho wa maisha au kutokuwa na ndoa. Unaweza hata kupata watoto wasiyo na HIV
Usimtenge wa kumnyanyapa sbb hujui kesho itakuwaje. Huyo kawa muwazi kwako, kesho utampata msiri, atakuambukiza