USHAURI: 63" Hisense Vs 55" Samsung

USHAURI: 63" Hisense Vs 55" Samsung

Olympus

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
2,818
Reaction score
689
Habari wataalamu
Naomba ushauri, nina plan ya kununua TV mpya ambayo SIO oled au qled...Iwe Smart na iwe na 4K UHDTV capable.

Nimekutana na hizo options mbili za Samsung ya inch 55 4k uhdtv na Hisense 63 inch Uhdtv
Bei zinafanana.

What option do you recommend?
 
Kwa ulimwengu wa sasa mkuu angalia HDR standard gani zipo,

Mfano HDR10, Hdr10+, Dolby Vision etc. Ungeweka model ningekuchekia, maana 4k kama 4k haina maana sana bila hizo standard.
Mkuu naomba uelezee vizuri hapa ili tupate shule pia
 
Mkuu naomba uelezee vizuri hapa ili tupate shule pia
Hdr ni kifupi cha High dynamic range, Display za zamani zenyewe zinaitwa Sdr, yaani standard dynamic range.

Hizi Hdr zinakuwa na mwanga mdogoo na mwanga mkubwaa, kama ni maeneo yana giza basi inakuwa giza kweli na kama eneo kuna jua basi mwanga kweli, ili kufanikisha hilo inabidi display iwe na mwanga mkubwa Display ya Hdr inaenda nits 1000 mpaka 4000.

Pia zinakuwa na rangi nyingi display ya Hdr inafika rangi Bilioni 1 wakati ya kawaida ni milioni 16.

fb9f2457baf4b5e77bb50235caca2bb4.jpg


Kama ilivyo 4k ku enjoy Hdr unahitaji internet ya maana Recomended 40mbps ila 25mbps pia unatumia kibishi, hapo ndio Netflix, Amazon prime, youtube na wengineo wataanza kukuonesha content zake.
 
Ubora wa TV unapimwa na vitu vikuu vitatu ambavyo ni:

A.Screen techs, ambapo kuna:

1.QLED:Quantum Light Emmiting Diode

2.OLED:Organic Light Emmiting Diode

3.LED:Light Emmiting Diode

4.LCD:Liquid Crystal Display

5.DLP: Digital Light Processing

6.Plasma panels

7.DTV: Direct TV

Jinsi unavyoshuka chini kutoka namba moja kuja namba saba ndivyo ubora wa TV unavyopungua.

B.Resolution,ambapo kuna resolution tano:

1.8K

2.4K

3.1080p

4.720P

5.480P

Kadri unavyoshuka kutoka namba moja kuja namba tano ndivyo ubora wa TV unavyopungua.

Hii maana yake ni kwamba unaponunua TV hakikisha kuwa upo angalao kwenye tatu bora ya hivyo vitu viwili hapo juu.

C:Tech nyinginezo

Kuna tech nyinginezo muhimu sana za kuangalia kama vile HDR na Dolby.TV zenye HDR na Dolby ni TV bora sana.Unaponunua TV yako angalia pia kama ina tech hizi mbili.
 
Hisense sio tv mbaya
Ni tv zili designiwa kwa watu wenye low budget
Ni kama vile watu wanakuambia iPhone ni better kuliko simu singine lakini Hisense kila siku wanakuwa wabunifu na wanafanya vizuri sokoni.

Ushauri wangu nunua tv kutokana na budget yako lakini sio kusema Hisense ni tv mbaya au zina haribika haraka.
Quality na rangi ni kali pia.

Hisense TVs come with a wide variety of panel types. You can find models with ULED, QLED, and even OLED panels technology. This means that you can pick from a wide selection of panel types if you decide on a Hisense TV. Conversely, Samsung TVs only use the company's proprietary QLED technology.
Muhimu upewe waranty.
 
Yah hisense ina cheap materials halafu they are not meant to last. Its a low budget tv mzae
Labda nipo makini kwenye matunzo, Hisense last year nimenunua ya tatu mara zote hakuna iliyoniangusha. Yaani kubadili kwangu ni kutakana na kuhisi tu moja imepitwa na wakati nanunua latest versions. Ni ngumu sana kunitoa kwenye hii brand nimetokea kuiamini sana.
 
Hisense sio tv mbaya
Ni tv zili designiwa kwa watu wenye low budget
Ni kama vile watu wanakuambia iPhone ni better kuliko simu singine lakini Hisense kila siku wanakuwa wabunifu na wanafanya vizuri sokoni.

Ushauri wangu nunua tv kutokana na budget yako lakini sio kusema Hisense ni tv mbaya au zina haribika haraka.
Quality na rangi ni kali pia.

Hisense TVs come with a wide variety of panel types. You can find models with ULED, QLED, and even OLED panels technology. This means that you can pick from a wide selection of panel types if you decide on a Hisense TV. Conversely, Samsung TVs only use the company's proprietary QLED technology.
Muhimu upewe waranty.
Cha muhimu ni hio warranty mkuu tena ya maandishi na sio kauli tamu za wauza duka.

Issue yangu mimi na wachina (Hata kina samsung na Lg wanaanza huu mchezo), wanauza model tofauti Huko Duniani na huku Africa, Model inayoenda Marekani hata kama ni ya bei rahisi utakuta ni nzuri kuliko wanazokuja ku Dump huku Africa.

So unakuta Hio Hisense nzuri uliyoona Reviews Online haipatikani Duka lolote kibongo bongo.
 
Labda nipo makini kwenye matunzo, Hisense last year nimenunua ya tatu mara zote hakuna iliyoniangusha. Yaani kubadili kwangu ni kutakana na kuhisi tu moja imepitwa na wakati nanunua latest versions. Ni ngumu sana kunitoa kwenye hii brand nimetokea kuiamini sana.
You must be lucky usiache kununua kwa huyo huyo dealer
 
Labda nipo makini kwenye matunzo, Hisense last year nimenunua ya tatu mara zote hakuna iliyoniangusha. Yaani kubadili kwangu ni kutakana na kuhisi tu moja imepitwa na wakati nanunua latest versions. Ni ngumu sana kunitoa kwenye hii brand nimetokea kuiamini sana.
Binafsi Hisense hawajawahi kuniangusha kwenye bidhaa zao.. nna frij na freezer zao.. mwaka wa 10 huu kitu bado NON-FROST na nna TV yao mwaka wa 4 ipo kwenye Biashara huu haina matatizo yoyote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom