Habari wataalamu
Naomba ushauri, nina plan ya kununua TV mpya ambayo SIO oled au qled...Iwe Smart na iwe na 4K UHDTV capable.
Nimekutana na hizo options mbili za Samsung ya inch 55 4k uhdtv na Hisense 63 inch Uhdtv
Bei zinafanana.
What option do you recommend?
Naomba ushauri, nina plan ya kununua TV mpya ambayo SIO oled au qled...Iwe Smart na iwe na 4K UHDTV capable.
Nimekutana na hizo options mbili za Samsung ya inch 55 4k uhdtv na Hisense 63 inch Uhdtv
Bei zinafanana.
What option do you recommend?