Ushauri: 400,000/= Ninunue LAPTOP aina gani?

Ushauri: 400,000/= Ninunue LAPTOP aina gani?

mkuu Chief-Mkwawa nimejaribu zote zimegoma. Vipi nikijaribu kupiga chini window 7 nikaweka 8 ?
Samahani kwa usumbufu lakini chief
jamaa hajui kitu chochote muongo ingia kwenye website official ya toshiba au cheki kwenye karatasi ya maelekezo iliyokuja na hiyo laptop. toshiba haingiliani driver na pc nyingine. halafu ukiingia kwenye website ya toshiba weka model ya pc yako itakuletea driver zote chagua unazotakt ni muhimu kujua window yako inasupport 32 au 64 bit check mycomputer then right click jina linaoishia na .........pc alafu properties kujua
 
Last edited by a moderator:
ram na hard disk visikusumbue kaka, laptop nyingi unaweza ongeza mwenyewe. unaweza pata 4gb ram na 500gb hdd kuanzia laki 5 kupanda juu. ila pc ya laki 5 yenye 4gb ram na hdd ya 500 itakuwa na processor dhaifu.

tafuta atleast i3 ya 4th generation na hi 4gb ram na 500gb hdd, niliwahi ona moja ina i3 4030u kwa laki 6 pale uhuru.

ukumbuke i3 mpya ina nguvu kuliko i5 au i7 ya zamani, i5 na i7 mpya zina nguvu zaidi. hivyo hakikisha ukinunua laptop usiangalie jina i3/i5/i7 bali angalia upya wake. na upya unaangaliwa kwa namba ya kwanza ya processor. ikiwa i3 4xxx au i3 5xxx basi ni mpya

nimeupenda ufafanuzi wako.
je na nikihitaji laptop kwa matumizi ya engineering designs.. kama autocad na wenzie.. pia kwa shughuli za internet kama blogging ni ipi itafaa?
 
nimeupenda ufafanuzi wako.
je na nikihitaji laptop kwa matumizi ya engineering designs.. kama autocad na wenzie.. pia kwa shughuli za internet kama blogging ni ipi itafaa?

autocad ndio software yako kubwa zaidi? kama kuna nyengine kubwa kushinda autocad nitajie,

processor
tafuta processor yoyote ya intel 4th generation inayoishiwa na m kwa mbele

i3- 4000m au 4100m
i5- 4200m au 4300m
i7- 4600m

processor zinazoishiwa na m zinaruhusu ram hadi 32gb hivyo unaweza nunua laptop ya 4gb ram then ukaongeza mwenyewe, pia zina thermal design power kubwa hadi watts 35 hivyo hata ifanye kazi kubwa haiwezi kushuka ufanisi tofauti na aina nyengine ya processor. hizi zinazoishiwa na m gpu yake pia ni kubwa kwa ajili ya graphics.

display na graphics
autocad wanaruhusu kioo cha 720p ila wanarecomend cha 1080p, kama utatumia display ya 720p basi gpu inayokuja na processor itatosha mambo yako ila kama utataka kioo kizuri zaidi cha 1080p itabidi hio laptop iwe na graphics za nvidia.

ram
jamaa wanataka 4gb ila wanarecomend 8gb

windows
jamaa wanaouza laptop wana tabia ya kuekea watu 32bit, kwa kazi yako hakikisha windows ni 64bit kwani hii 64bit ina perfomance kubwa sana.

hapa itategemea na budget yako sasa kama hautaki kuspend hela nyingi

-laptop ya i3/i5 yenye 4gb ram na 500gb hdd kioo cha 1300x766 na windows ya 64bit

au kama hela ipo unaweza nunua

-laptop ya i5/i7 yenye ram 8gb kupanda na dedicated nvidia graphics, iwe na ssd badala ya hdd, kioo cha 1920x1080 pamoja na windows ya 64bit.

kwenye display pia una option ya kununua monitor, ukiwa nyumbani unachomeka laptop na monitor pamoja ili kufanya kazi za 1080p
 
autocad ndio software yako kubwa zaidi? Kama kuna nyengine kubwa kushinda autocad nitajie,

processor
tafuta processor yoyote ya intel 4th generation inayoishiwa na m kwa mbele

i3- 4000m au 4100m
i5- 4200m au 4300m
i7- 4600m

processor zinazoishiwa na m zinaruhusu ram hadi 32gb hivyo unaweza nunua laptop ya 4gb ram then ukaongeza mwenyewe, pia zina thermal design power kubwa hadi watts 35 hivyo hata ifanye kazi kubwa haiwezi kushuka ufanisi tofauti na aina nyengine ya processor. Hizi zinazoishiwa na m gpu yake pia ni kubwa kwa ajili ya graphics.

display na graphics
autocad wanaruhusu kioo cha 720p ila wanarecomend cha 1080p, kama utatumia display ya 720p basi gpu inayokuja na processor itatosha mambo yako ila kama utataka kioo kizuri zaidi cha 1080p itabidi hio laptop iwe na graphics za nvidia.

ram
jamaa wanataka 4gb ila wanarecomend 8gb

windows
jamaa wanaouza laptop wana tabia ya kuekea watu 32bit, kwa kazi yako hakikisha windows ni 64bit kwani hii 64bit ina perfomance kubwa sana.

Hapa itategemea na budget yako sasa kama hautaki kuspend hela nyingi

-laptop ya i3/i5 yenye 4gb ram na 500gb hdd kioo cha 1300x766 na windows ya 64bit

au kama hela ipo unaweza nunua

-laptop ya i5/i7 yenye ram 8gb kupanda na dedicated nvidia graphics, iwe na ssd badala ya hdd, kioo cha 1920x1080 pamoja na windows ya 64bit.

Kwenye display pia una option ya kununua monitor, ukiwa nyumbani unachomeka laptop na monitor pamoja ili kufanya kazi za 1080p
nashukuru sana kwa maelezo ya kina i am satisfied na nalifanyia kazi sasa..
 
ongeza 50 apo nkupe acer processor i3 ya 2.4Ghz, Ram 4gb, hard disk 500Gb na display inch 15.5 Led Lcd...Kila kitu cha kwenye laptop ya kisasa kipo kama webcam,hdmi,dvd-rw,bluetooth,wlan,ethernet,vga,3 usb ports moja ya 3.0 na mbili za 2.0
 
Back
Top Bottom