Ushauri: 400,000/= Ninunue LAPTOP aina gani?

Ushauri: 400,000/= Ninunue LAPTOP aina gani?

Aldonae

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
598
Reaction score
396
Habari wakuu, nataka kununua laptop, bajet tajwa juu hapo, je ninunue aina gani, inayokaa na chaji kwa muda mrefu na sifa nyingnezo kwan mimi ni mweupee katika haya maswala.

#chief
mkwawa
 
jichange tena uongeze laki moja hapo. Ukiwa na laki tano tembelea pale Laptop City utapata kitu cha kueleweka sana
 
Nunua inayoendana na matumizi yako. Zingatia processor na memory. Intel i5 processor inafaa kwa kazi za ofisi, screen ya 13 inches haili betri kama zile kubwa za 15.6". Memory isipungue 4GB RAM na disk ya 500GB inatosha.
 
Nunua inayoendana na matumizi yako. Zingatia processor na memory. Intel i5 processor inafaa kwa kazi za ofisi, screen ya 13 inches haili betri kama zile kubwa za 15.6". Memory isipungue 4GB RAM na disk ya 500GB inatosha.

Shukran Mkuu,
 
Laptop za laki 4 Ni hizi mini laptop ambazo kwa muono wangu hazifai kununua. Ongeza laki 1 utapata angalau laptop za Celeron au Pentium zenye ram 2gb na had 500gb. Na kama utaongeza laki 2 unaweza pata ya i3.

Kama huwezi kuongeza budget kabisa Ni bora ukatafuta used laptop kuliko kununua mini laptop za Intel atom.

Kwa laki 4 used unaweza pata laptop ya i3 hadi i5

Kwa charge unategemea ikae masaa mangapi? Upo tayari kukaa na laptop yenye 32gb memory sababu ya charge?
 
Laptop za laki 4 Ni hizi mini laptop ambazo kwa muono wangu hazifai kununua. Ongeza laki 1 utapata angalau laptop za Celeron au Pentium zenye ram 2gb na had 500gb. Na kama utaongeza laki 2 unaweza pata ya i3.

Kama huwezi kuongeza budget kabisa Ni bora ukatafuta used laptop kuliko kununua mini laptop za Intel atom.

Kwa laki 4 used unaweza pata laptop ya i3 hadi i5

Kwa charge unategemea ikae masaa mangapi? Upo tayari kukaa na laptop yenye 32gb memory sababu ya charge?

ahaaaa!nikiongeza laki,unanishaur aina gan?mm czjui kabiisa
 
more than 7

hope unaelewa kwenye laptop za bei rahisi huwezi pata vyote perfomance na battery life. ukichagua kimoja basi kingine unakosa.

nilikuuliza juu unaweza tumia laptop yenye internal memory ya 32gb? siku hizi zipo laptop zenye 32gb zinazotumia memory za simu badala ya hdd na processor ndogo hivyo kupelekea kukaa na chaji sana. unaweza ongeza hio storage kwa memory card au external hdd. mfano asus x205
it_photo_214564.jpg


laptop kama hio inakaa na chaji masaa 12 na pia bei yake ni chini ya dola 200 hivyo unaweza ipata madukani kwa hio budget yako 400,000 hadi 450,000

kama hutaweza vumilia storage ya 32gb itabidi upande budget ya 500,000+ then tafuta laptop zenye processor hizi

-celeron n3000
-celeron n3050
-celeron n3150

unaweza bahatisha hio battery life.

au alternative tafuta laptop used halafu inunulie 6+ cell battery then itakaa sana na charge.
 
Binafsi nina Samsung Chrome net book. Upande wa Charge iko safi sana ila internal memory ni ndogo but I never cared maana nina External ya 1tb. Ila OS hii watu wengi hawajaiziea kama MS Windows. But kapo super fast. Nilikapata UK used electronic devices katika mji wa Brighton kwa US $80 tu.
So kama wataka battery life you have to sacrifice internal storage na vitu kama hivyo.
Reason behind ya hiki kidude kukaa saana na chaji upande wa battery ni kuwa hakina moving parts kama vile cooling fans, HDD na vitu kama hivyo na ndani ina battery kubwa saaaana ambalo linafanya kazi ndogo tu almost kama tablet au simu. Tofauti na laptops zenye cooling fans na moving HDD then zinakuwa na battery ndogo.
Hizi zina battery kubwa with less to do.
So mwisho wa siku the choice is yours.
 
hope unaelewa kwenye laptop za bei rahisi huwezi pata vyote perfomance na battery life. ukichagua kimoja basi kingine unakosa.

nilikuuliza juu unaweza tumia laptop yenye internal memory ya 32gb? siku hizi zipo laptop zenye 32gb zinazotumia memory za simu badala ya hdd na processor ndogo hivyo kupelekea kukaa na chaji sana. unaweza ongeza hio storage kwa memory card au external hdd. mfano asus x205
it_photo_214564.jpg


laptop kama hio inakaa na chaji masaa 12 na pia bei yake ni chini ya dola 200 hivyo unaweza ipata madukani kwa hio budget yako 400,000 hadi 450,000

kama hutaweza vumilia storage ya 32gb itabidi upande budget ya 500,000+ then tafuta laptop zenye processor hizi

-celeron n3000
-celeron n3050
-celeron n3150

unaweza bahatisha hio battery life.

au alternative tafuta laptop used halafu inunulie 6+ cell battery then itakaa sana na charge.

Shukrani mkuu kwa maelezo hayo,ila kwangu memory sio ishu sana,ningependa kujua processor na ram yake hii ya 32gb.na nikipata kwa majina nitashuru pia.

Location kwa hapa tanzania naweza kupata wapi

Natanguliza shukrani mkuu
 
Shukrani mkuu kwa maelezo hayo,ila kwangu memory sio ishu sana,ningependa kujua processor na ram yake hii ya 32gb.na nikipata kwa majina nitashuru pia.

Location kwa hapa tanzania naweza kupata wapi

Natanguliza shukrani mkuu

ram 2gb na processor ni T3735 ambayo ipo familia ya baytrail. ila ukumbuke laptop hizi huwezi ku upgrade memory kama simu. ukitaka memory zaidi itabidi utumie external hdd au memory card.

mahala pa kuipata hapa tanzania am not sure wapi utaipata ila cheki maduka makubwa posta wanaosupply vifaa vya maofisi
 
nilishawahi kupata intel core i5 used
internal 300gb
processor 1.8ghz
ram 3gb
kwa laki 4 kamili nahifurahia mpaka sasa nina zaid ya mwaka, sema kununua used unacheza bahati nasibu kama alivosema mkuu unaweza pata yenye vitu pungufu ama yenye matatizo makubwa na ukajutia lakini ni vizur ukipata kitu brand new kwa kuongeza kuanzia kilo moja kwenda juu kutoka hapo ulipo
 
nilishawahi kupata intel core i5 used
internal 300gb
processor 1.8ghz
ram 3gb
kwa laki 4 kamili nahifurahia mpaka sasa nina zaid ya mwaka, sema kununua used unacheza bahati nasibu kama alivosema mkuu unaweza pata yenye vitu pungufu ama yenye matatizo makubwa na ukajutia lakini ni vizur ukipata kitu brand new kwa kuongeza kuanzia kilo moja kwenda juu kutoka hapo ulipo

laptop mpya kabsa ambayo sio used yenye uwezo mkubwa inaweza ikawa sh.ngp na naweza pata wap hapa DAR
 
laptop mpya kabsa ambayo sio used yenye uwezo mkubwa inaweza ikawa sh.ngp na naweza pata wap hapa DAR

kila unavyodhani matumizi yako ni makubwa basi mwenzako ana matumizi makubwa zaidi, na kuna laptop hadi milioni 10 kupanda juu. we unafikiri matumizi yako makubwa ni yapi? au taja software zako kubwa ni zipi then kutokea kwenye system requirement za hio software utaweza kuambiwa laptop ipi inakufaa.
 
Mkuu wasikusumbue sana cha kufanya we nenda duka lolote la laptop waambie 'nina laki 4 nipeni PC aina ya 'DELL' ...
 
Nunua inayoendana na matumizi yako. Zingatia processor na memory. Intel i5 processor inafaa kwa kazi za ofisi, screen ya 13 inches haili betri kama zile kubwa za 15.6". Memory isipungue 4GB RAM na disk ya 500GB inatosha.


Dah, jamaa nimependa profile status yako aseee...

Join Date : 5th June 2009
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received
0
Likes Given
0

Safi sana mkuu:A S 41:
 
Acer na Microsoft wamezindua aspire one cloudbook kwa dola 169 tu

acer-aspire-one-cloudbook.jpg


Around 340,000 za kitanzania kuna vesion ya 11 na 14 inch. Zitaingia madukani mwezi WA nane katikati hivyo maybe mwezi WA 9 zitafika huku kwetu
 
Back
Top Bottom