M ni msichana wa miaka 21, na mpnz wng ambae ni 25, kiukwl our relation started as a joke, coz ye aliku anampnz wke anampenda sana alishi nae kw miaka mine, bt later on alikuja kumsaliti, den he met me we became frnds, den widout realizin we fell 4 each other, nampenda n n yy ananipenda sana nashkuru mungu ke ilo bt tatizo lunakuja ivi, yy ni mbanian bt alislimu, ila tng najuana nae kuna vi2 vingi anafanya n it proves dat he loves, hajawah kufanya ki2 kiacho nifanya o kupelekea kumsuspect kuniendea kanyume, bt nachoshindw kumuelewa, yy anavuta cgara, bang, analewa, haswal, ni vi2 ambavo muislam yoyote hatopenda, hajawah kuniende kinyume kwny mapenz, bt vi2 ivo kumwmbia afanye anasems hawez, nikikjazania ugomvi nam4ce, naomben ushauri wenu? Nifanye nn coz nimetry sana kumwmbia aache bt hatekelez