ushaur wenu naomba

ushaur wenu naomba

I knw dat ukipenda boga upende n uwa lake, bt dere a thngs whch m2 hajaumbwa navo n pis havina faida, so sio vbya ukitry kumbalisha m2 n kwa faida yke o?
catharine, whats wrong with you why dont you spell correctly? mmmmmhhhhhhhh! too much childish bhana!
 
Last edited by a moderator:
Unajua y? Cos its km akivuta iyo bang ya kupitiza o anafanya uhuni mambo mbya, mostly anavuta wen he z stressed out,
N nahofia dat if nkiiachana n yy ctompata mwngne km yy. Ujue maisha ck iz c rahc kupata m2 akakupenda kkthamin n kuwa n ww kw chochote...
 
M ni msichana wa miaka 21, na mpnz wng ambae ni 25, kiukwl our relation started as a joke, coz ye aliku anampnz wke anampenda sana alishi nae kw miaka mine, bt later on alikuja kumsaliti, den he met me we became frnds, den widout realizin we fell 4 each other, nampenda n n yy ananipenda sana nashkuru mungu ke ilo bt tatizo lunakuja ivi, yy ni mbanian bt alislimu, ila tng najuana nae kuna vi2 vingi anafanya n it proves dat he loves, hajawah kufanya ki2 kiacho nifanya o kupelekea kumsuspect kuniendea kanyume, bt nachoshindw kumuelewa, yy anavuta cgara, bang, analewa, haswal, ni vi2 ambavo muislam yoyote hatopenda, hajawah kuniende kinyume kwny mapenz, bt vi2 ivo kumwmbia afanye anasems hawez, nikikjazania ugomvi nam4ce, naomben ushauri wenu? Nifanye nn coz nimetry sana kumwmbia aache bt hatekelez

Sasa kama hawezi hili swala si utafute anayeweza....
 
Hey plzz m m2 mstarabu, so cpend m2 kunjia juu n ki2 ambacho cwez kuukihandle, if huwez kuongea un i polite way plz just bora nyamaza 2, o km neno hujafahamu niambie kw ustarabu plzzz
 
I knw dat ukipenda boga upende n uwa lake, bt dere a thngs whch m2 hajaumbwa navo n pis havina faida, so sio vbya ukitry kumbalisha m2 n kwa faida yke o?
nature ya mtu haibadiliki labda kama unataka awe pretenderrrrrrrrrrrrrrrr kua amechange.
 
Unajua y? Cos its km akivuta iyo bang ya kupitiza o anafanya uhuni mambo mbya, mostly anavuta wen he z stressed out,
N nahofia dat if nkiiachana n yy ctompata mwngne km yy. Ujue maisha ck iz c rahc kupata m2 akakupenda kkthamin n kuwa n ww kw chochote...

mshirikishe dada yako akushauri!
 
Sio nature yke bt circumstances 2 zimemfanya awe ivo,, sio km anapenda, bt kuna vi2 vinampelekea afanye ivo
 
, hajawah kuniende kinyume kwny mapenz, bt vi2 ivo kumwmbia afanye anasems hawez, nikikjazania ugomvi nam4ce, naomben ushauri wenu? Nifanye nn coz nimetry sana kumwmbia aache bt hatekelez
Excuse me!!
 
Andika vizuri basi maana kukata kata hurufi kama unakigugumizi wengine ni old fashion bibie
 
Cna dada,, m ndokubwa, n nhc cwez kuwamin m2 yoyote kumwmbia
Catherine, huwezi kuandika kiswahili au kiingereza kilichonyooka? Kumbuka humu kuna marika tofauti, wengine wameshakuwa watu wazima hawaelewi, wengine wakiona mwandiko huu hawajisikii tena kutoa ushauri

Tafadhali jaribu kuandika kiswahili/kiingereza kilichokaa vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Catherine, huwezi kuandika kiswahili au kiingereza kilichonyooka? Kumbuka humu kuna marika tofauti, wengine wameshakuwa watu wazima hawaelewi, wengine wakiona mwandiko huu hawajisikii tena kutoa ushauri

Tafadhali jaribu kuandika kiswahili/kiingereza kilichokaa vizuri.
Ok ntajitahidi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom