- Thread starter
- #41
Sory kwa ambao hamjaelewa let me try kueka sawa
jichekee tu my dear
mi huo mwandiko sijaambulia
hata moja mweeeh!!
Sory kwa ambao hamjaelewa let me try kueka sawa
jichekee tu my dear
mi huo mwandiko sijaambulia
hata moja mweeeh!!
Sory kwa ambao hamjaelewa let me try kueka sawa
Tayar i hope now utaelewa
ok mwaya hebu rekebisha
tuweze kukushauri my dear!
M mshihiri
m ni msichana wa miaka 21, na mpenz wang ambae ni 25, kiukwl our relation started as a joke, coz ye aliku anampenz wake anampenda sana alishi nae kw miaka mine, bt later on alikuja kumsaliti, then he met me we became frnds, den widout realizin we fell 4 each other, nampenda na yeye ananipenda sana nashkuru mungu kwa ilo but tatizo lunakuja ivi, yey ni mbanian bt alislimu, ila tng najuana nae kuna vi2 vingi anafanya na it proves that he loves, hajawah kufanya kitu ambacha kingepelekea kumsuspect kuniendea kanyume, but nachoshindw kumuelewa, yey anavuta cgara, bang, analewa, haswal, ni vitutu ambavo muislam yoyote hatopenda, hajawah kuniende kinyume kwenye mapenz, bt vi2 ivo kumwmbia afanye anasems hawez, nikimkazania ugomvi namforce, naomben ushauri wenu? Nifanye nn coz nimetry sana kumwmbia aache bt hatekelez,
mshauri UNDENIABLE vipi tena!!!!!
Hapa tuongee kiutu uzima, we want to save life here, kuna maisha yanaelekea kupotea hapa wanaJF!
Look catharine,
wewe ni binti mdogo sana, hayo maji ni marefu sana kwako(bangi, etc etc)
jitahidi kukumbuka kisa cha ray c na lord eyez
Sio siri huyo mpenzi wako sio sahihi kwako kwa sasa, labda kwa baadae wakati umepata exposure kadhaa hv!
Believe me, unabeng' kwenye ukanda hatari sana!
ACHANA NAE AS SOON AS POSSIBLE, UNACHELEWA SANA!
Note:
ukiogopa kufanya maamuzi sahihi kwa ajili yako mwenyewe no body else can! Most men have never been honest at love point, atakutumia kama kondom halafu anakutupa kule then anachukua mtoto mwingine mbichi, anabeng' nae!
Nimemwagia dogo bonge la ushauri, ila i question her ability to learn so quickly! kwann aandike vibaya tena na tena kwa kurudiarudia as if ni kilema, halafu pia ni mgeni humu na anaomba ushauri tena kwenye janga la kimataifa! she cannot be serious, ama ni utoto unamsumbua ama ni mwanajf mzoefu tu hapa ameamua kutuzingua!
M mshihiri
naona ameanza kuandika vizuri
kumbe ukituliaga na wewe unatoaga ma bonge ya ushauri
hahahahaha sasa wewe umesahau ulikuwa umenipendea nini kipindi kile tunapendana! si ilikuwa maushauri au ilikuwa u-handsome!
M ni msichana wa miaka 21, na mpenz wang ambae ni 25, kiukwl our relation started as a joke, coz ye aliku anampenz wake anampenda sana alishi nae kw miaka mine, bt later on alikuja kumsaliti, then he met me we became frnds, den widout realizin we fell 4 each other, nampenda na yeye ananipenda sana nashkuru mungu kwa ilo but tatizo lunakuja ivi, yey ni mbanian bt alislimu, ila tng najuana nae kuna vi2 vingi anafanya na it proves that he loves, hajawah kufanya kitu ambacha kingepelekea kumsuspect kuniendea kanyume, but nachoshindw kumuelewa, yey anavuta cgara, bang, analewa, haswal, ni vitutu ambavo muislam yoyote hatopenda, hajawah kuniende kinyume kwenye mapenz, bt vi2 ivo kumwmbia afanye anasems hawez, nikimkazania ugomvi namforce, naomben ushauri wenu? Nifanye nn coz nimetry sana kumwmbia aache bt hatekelez,
M ni msichana wa miaka 21, na mpenz wang ambae ni 25, kiukwl our relation started as a joke, coz ye aliku anampenz wake anampenda sana alishi nae kw miaka mine, bt later on alikuja kumsaliti, then he met me we became frnds, den widout realizin we fell 4 each other, nampenda na yeye ananipenda sana nashkuru mungu kwa ilo but tatizo lunakuja ivi, yey ni mbanian bt alislimu, ila tng najuana nae kuna vi2 vingi anafanya na it proves that he loves, hajawah kufanya kitu ambacha kingepelekea kumsuspect kuniendea kanyume, but nachoshindw kumuelewa, yey anavuta cgara, bang, analewa, haswal, ni vitutu ambavo muislam yoyote hatopenda, hajawah kuniende kinyume kwenye mapenz, bt vi2 ivo kumwmbia afanye anasems hawez, nikimkazania ugomvi namforce, naomben ushauri wenu? Nifanye nn coz nimetry sana kumwmbia aache bt hatekelez,
loh! hata mimi nimeshindwa kuelewa wakati anaandika alikuwa katumia kilevi gani mana huu uandishi.........!!!wewe catharine ni muislam?
huyo baniani nae ni muislam sio?
bangi na madawa ya kulevya anavuta?
na wewe muandiko wako sijui unatumia nini?tambuu?
Tayar i hope now utaelewa
Baada ya kuachwa na uyo wa mwnzo ndo amekua ivoin short huyo mwanaume wewe unaonyesha kumuacha huwezi na yeye kuacha hawezi, inabidi mvumiliane for the sake of love. Ungejiuliza uyo aliyekaa nae miaka minne nini kimemshinda itakuwa ni hizi tabia zake so either usepe au uvumilie kila jambo. Enjoy your love.
Unajua nini? Haniker wala hanifanyi vitu vibaya, but sipendi because haina faida, na its not good for health
dah!!kama mtu anavuta mpaka bangi
thn ukimshauri aache inakua ugomvi mi
sidhani kama anakufaa,coz ni lazima unakereka
na tabia hizo,unaweza kuhimili hizo kero?jibu unalo wewe!!
pole mweeeeh ndio mapenzi hayo
Am so sure that ye ndo aloachwa, na haya yote yamekuja baada yaivoMulugo product at work! 21 years ndo utakuwa umemaliza form six na unajiandaa kwenda chuo! kasome kwanza binti acha mapenzi! hapo kwenye red una uhakika gani kuwa huyo boyfriend wako ndo aliyemsaliti the former girl akapigwa chini wewe ndo umejitumbukiza naye atakupiga chini.