Kakajambaz Jr
Member
- Oct 4, 2012
- 59
- 13
Mapenzi kama siasa, usiposema uongo hupati kura hapendwi mtu bila kitu, anaekuita baby ndo atakaekuita babu ukifulia, jipangeni watu wangu maisha magumu na hayarudi nyuma, hakuna tuzo ya umalaya zaidi ya ukimwi.
"Acha michepuko sio dili "
"Acha michepuko sio dili "