Npo ktk mahusiano na msichana na tuna mpango wa kufanya utambulisho lakin mama ake na binti hanitak kwa sababu kuna kijana alikuwa anampenda na alitaka amuoe binti yake lakin msichana alimkataa huyo kijana na anataka kufunga ndoa na mimi.
Nami nampenda sana.
Naomba ushaur wadau nifanye nn?
Nami nampenda sana.
Naomba ushaur wadau nifanye nn?