USHAMBA WA FIRST YEAR VYUONI

USHAMBA WA FIRST YEAR VYUONI

Hii ni fikra potofu chief, tunaishi kwa malengo. Lengo la kwenda chuo ni kusoma mpaka ugraduate. Ikitokea uka disco si jambo la kulichekea, kwa kuwa umepoteza muda na rasilimali nyingi sana. Kudisco unapoenda chuo haitakiwi kuwa option, iache ije tu kama matokeo baada ya jitihada za kufaulu kushindwa na si kama kitu Kilichotarajiwa.

Mi nina rafiki waliodisco japo walikuja kufanikiwa, lakini muda waliopoteza ni irreplaceable.
Fact
 
Ushamba unaendana na mwaka wenyewe historia inasema darasa letu yaani standard 1 ya 2005 we are smart. Kama ushamba mliufanya wewe na wenzako sio sisi we are best class in Tanzania.
Hayo majigambo yataisha tu...utakua mpole
 
Ngoja waje.. aliechaguliwa Ardhi wa kike lkn, aje PM nimuanzishie orientation
 
Ushamba unaendana na mwaka wenyewe historia inasema darasa letu yaani standard 1 ya 2005 we are smart. Kama ushamba mliufanya wewe na wenzako sio sisi we are best class in Tanzania.
This might be a silly class ever..... Data zako umetoa wapi dogo? Ubora wa Darasa lenu uko wapi? Mapanya tu nyie
 
This might be a silly class ever..... Data zako umetoa wapi dogo? Ubora wa Darasa lenu uko wapi? Mapanya tu nyie[/QUOTE
Data hujui zimetokea wapi sisi ndo tulianza kufanyw objective questions kwenye mtihani wa darasa la saba au umesahau? au hujui justification ya objective questions kwa watu na nchi zilizoendelea? ukweli ni kwamba miaka ya nyuma kulikuwa na tofauti sana kati ya mjini na sehemu nyingine ila sahivi tofauti ya maghorofa tu hakuna cha ajabu.
NOTE: we are the BEST class of Tanzania history.
 
Vijana mkazee,,,, maisha ya uchuo nikujituma tu izo mambo za kudisco huwa ni uzembe tu na kushobokea watu ambao sio wa aina yako
 
Exactly mkuu,darasa la dhahabu hili,mambo mengi huwa yanaanzia kwetu
Ushamba unaendana na mwaka wenyewe historia inasema darasa letu yaani standard 1 ya 2005 we are smart. Kama ushamba mliufanya wewe na wenzako sio sisi we are best class in Tanzania.
 
Nakumbuka nilupokuwa chuo first year wengi huja na nguo zao za kushonesha kama vile magauni, suti na skuna, na nywele zao wamesuka nne au tano kichwa lakini baada ya kupata boom na kujua Kariakoo na Mwenge, hiwa hawakamatiki kwa suruali na rasta za masai
Hii umeongea kweli..kuna jamaa alikuwa anakuja lecture hall na raio(zile ndala za tairi wanazofaa maasai)
 
Karibuni hivi first year waliodahiliwa na kupata vyuo mbali mbali hapa tz na kule znz wataripoti. Ila mara nyingi huwa na shobo nyingi sana wawapo vyuoni.
Tunakukumbusheni kuwa mkae mkijua huku kuna CARRY NA KUDISCO so kuweni makini
Kuna watu wanawaambia chuoni bata
 
Chuo kikuu ishu kubwa ni kuishiwa pesa mfukoni hapo ndo utajua dunia ni tambala bovu... Kudisco na kusapu ni sehemu ya maisha ya Chuo
 
Back
Top Bottom