..CCM watamwadhibu tu.
..Makinda hawezi kukubali kwamba Waziri Mkuu amelidanganya bunge.
..mimi nashauri Lema awasilishe ushahidi wake mbele ya waandishi wa habari na television.
..baada ya hapo ndiyo aende bungeni na kutoa ushahidi wake. lakini ategemee kuwa ushahidi huo utapuuzwa na wabunge wa CCM.
Lema anaweza kuwapiga chini CCM vibaya sana kwa kauli moja tu, kuwa atawakilisha ushahidi wake pindi kesi iliyopo mahakamani itakapoalizika kwani sheria iko wazi due to separation of power between legislative, judiciary and exective, suala lililo mahakamani inakuwaje speaker aliruhusu kujidiliwa bungeni? huu si ni uvunjaji wa sheria?
DOWANS wamesema haiwezi kujadiliwa bungeni kwa sababu swala lipo mahakamani je hili la arusha halipo mahakamani? attack them with their own weapon, tuwaone watatoka vipi zaidi ya speaker kuonekana ni incompetent, biased and with a lot of double standard
Waupeleke kwa makinda huo utetezi.