eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
Katika hali inayoonekana ni aibu kubwa atakayokumbana nao waziri Pinda basi kwa kipindi hiki ni kipute kikubwa.. Ni sawa na timu ya mpira inapopangiwa mechi na Barcelona..Ni lazima uingiwe kiwewe..
Katika pitapita yangu hapa mjini katika kuhangaika angalau nipate mlo nilibahatika kukutana na watu mbalimbali ambao walidai Anna Makinda hiyo tar 14-feb-2011 atamwingiza waziri katika hali mbaya saana maana ushahidi wa Lema ni mkubwa na una nguvu ya kisheria..Mi nadhani huu ni wakati muafaka kushuhudia Pinda akiangua kilio bungeni kama alivyofanya alipobanwa na upinzani kuhusu kuruhusu watu wawaue wanaoua Albino.
Ushahidi wa Lema uko hivi:
1. Lema atamwambia waziri mkuu ni muongo kwa kusema CCM ina madiwa 16 na CDM 14 kwa kuwa diwani wa Sombetini Bwn Mawazo sio CCM tena ni CDM na Sombetini ward leader is vacant position. Kwa hiyo Pinda ni muongo kusema CCM wako 16 wakati akijua fika wako 14 maana Chatanda nae si diwani wa Arusha bali wa Tanga mjini.
2. Kusema CDM ndo waliosababisha wananchi kuuliwa huo ni uongo kwa kuwa hapa aliombwa kutoa tamko kuhusu hao walioua na si CDM kushiriki maandamano. Kimsingi waziri Pinda alipindisha ukweli na kutuhumu safu ya CDM kwa mauaji wakati Polisi ndo waliopiga risasi wananchi. Kwa hili alidanganya UMMA kwa kushindwa kumtaja muuaji halisi wa wananchi.
3. Kusema CDM hawakupewa kibali huo ni uongo kwa kuwa walipewa kibali na wakawafanya CDM waingie gharama zao kutayarisha maandamo kabla ya siku ya mwisho ambayo "taarifa za kiintelejensia" zilipochakachua... Hapa CCM walilenga kuitia hasara CDM kwa kuwa walijua fika kuwa ni gharama kubwa kulipa watu watayarishe maandamano kwa matangazo, ulinzi binafsi, nguvukazi, usumbufu na mengine mengi. Lakini CDM waliwaahidi kuwa kama walivyoamua watafanya maandamano na wao wangekuwa responsible endapo vurugu na uharibifu ungetokea..{imethibitika kipindi cha msiba nako walilazimika kuwaahidi polisi kuwa hakuna fujo wakati wa kuaga wale maiti wahanga}.. Kweli amani ilitwala mpaka uani na maliwatoni kote si ndani wala nje kila mtu na huzuni lakini bila fujo.
NOTE: Si kweli kusema CDM walidhamiria kufanya vurugu ndo maana walipigwa na polisi kama waziri anavyodai.
4. Kimsingi waziri alidanganya bunge kwa kuamua kumlaumu Mbowe kuwa angeweza kuzuia maandanamo wakati ukweli wananchi walikuja wenyewe pale Mount Meru Hotel bila kuitwa na mtu.. Waliamua kuongozana kwa amani na kiongozi wao.
MYTAKE:
Waziri mkuu asikubali kutumika kama chambo la kisiasa... Maana CDM walimsitiri wakati wa uchaguzi ili apite lakini anakuwa tambara bovu litakalobidi kufuliwa siku ya uchaguzi 2015... Hakuna kutoa ruhusa huyu jamaa apite bila kupingwa!!
Waziri Mkuu ameanza kusikia haya madai ya msingi najua watasema ameghafilika pale bungeni lakini kiukweli si kulidanganya UMMA tuu bali pia ameongea uongo mkubwa kabisa tena wenye hulka ya kishabiki...
ADHABU YAKE::
CDM wamzomeee tuu pale bungeni wakati akikata kauli zake za uongo!!
Katika pitapita yangu hapa mjini katika kuhangaika angalau nipate mlo nilibahatika kukutana na watu mbalimbali ambao walidai Anna Makinda hiyo tar 14-feb-2011 atamwingiza waziri katika hali mbaya saana maana ushahidi wa Lema ni mkubwa na una nguvu ya kisheria..Mi nadhani huu ni wakati muafaka kushuhudia Pinda akiangua kilio bungeni kama alivyofanya alipobanwa na upinzani kuhusu kuruhusu watu wawaue wanaoua Albino.
Ushahidi wa Lema uko hivi:
1. Lema atamwambia waziri mkuu ni muongo kwa kusema CCM ina madiwa 16 na CDM 14 kwa kuwa diwani wa Sombetini Bwn Mawazo sio CCM tena ni CDM na Sombetini ward leader is vacant position. Kwa hiyo Pinda ni muongo kusema CCM wako 16 wakati akijua fika wako 14 maana Chatanda nae si diwani wa Arusha bali wa Tanga mjini.
2. Kusema CDM ndo waliosababisha wananchi kuuliwa huo ni uongo kwa kuwa hapa aliombwa kutoa tamko kuhusu hao walioua na si CDM kushiriki maandamano. Kimsingi waziri Pinda alipindisha ukweli na kutuhumu safu ya CDM kwa mauaji wakati Polisi ndo waliopiga risasi wananchi. Kwa hili alidanganya UMMA kwa kushindwa kumtaja muuaji halisi wa wananchi.
3. Kusema CDM hawakupewa kibali huo ni uongo kwa kuwa walipewa kibali na wakawafanya CDM waingie gharama zao kutayarisha maandamo kabla ya siku ya mwisho ambayo "taarifa za kiintelejensia" zilipochakachua... Hapa CCM walilenga kuitia hasara CDM kwa kuwa walijua fika kuwa ni gharama kubwa kulipa watu watayarishe maandamano kwa matangazo, ulinzi binafsi, nguvukazi, usumbufu na mengine mengi. Lakini CDM waliwaahidi kuwa kama walivyoamua watafanya maandamano na wao wangekuwa responsible endapo vurugu na uharibifu ungetokea..{imethibitika kipindi cha msiba nako walilazimika kuwaahidi polisi kuwa hakuna fujo wakati wa kuaga wale maiti wahanga}.. Kweli amani ilitwala mpaka uani na maliwatoni kote si ndani wala nje kila mtu na huzuni lakini bila fujo.
NOTE: Si kweli kusema CDM walidhamiria kufanya vurugu ndo maana walipigwa na polisi kama waziri anavyodai.
4. Kimsingi waziri alidanganya bunge kwa kuamua kumlaumu Mbowe kuwa angeweza kuzuia maandanamo wakati ukweli wananchi walikuja wenyewe pale Mount Meru Hotel bila kuitwa na mtu.. Waliamua kuongozana kwa amani na kiongozi wao.
MYTAKE:
Waziri mkuu asikubali kutumika kama chambo la kisiasa... Maana CDM walimsitiri wakati wa uchaguzi ili apite lakini anakuwa tambara bovu litakalobidi kufuliwa siku ya uchaguzi 2015... Hakuna kutoa ruhusa huyu jamaa apite bila kupingwa!!
Waziri Mkuu ameanza kusikia haya madai ya msingi najua watasema ameghafilika pale bungeni lakini kiukweli si kulidanganya UMMA tuu bali pia ameongea uongo mkubwa kabisa tena wenye hulka ya kishabiki...
ADHABU YAKE::
CDM wamzomeee tuu pale bungeni wakati akikata kauli zake za uongo!!