Wana-JF!
Inaposemekana kuwa CHADEMA ni chama cha kikanda na kidini, sio kwamba maneno hayo yanatoka kwa hisia tu,lah hasha, bali ni mfumo uliopo huko CHADEMA katika utoaji wa fursa za uongozi ndio wenye ubaguzi wa dini na ukanda.
Mfumo uliopo CHADEMA sio ule wa usawa katika kutoa nafasi za watu kugombea, ni mfumo wenye kuangalia mambo fulani fulani ambayo kwenye jamii yetu ya kitanzania hayana umuhimu, lakini ndani ya CHADEMA upewa kipaumbele!
Leo sitakuwa na mengi sana, ila nimeweka vielelezo kwenye huu uzi, ili basi nyinyi wenyewe mjionee hali halisi ilivyo huko CHADEMA katika usawa wa utoaji fursa, yaani bila kuangalia dini ya mtu, ukabila ama ukanda wa alikotoka mtu.
Vielelezo vyenyewe ni majina ya wabunge wetu wa CHADEMA (wale wa majimboni na viti maalumu), wanaJF ni wakati sasa wa kujua ukweli kuhusu chama kinacho endesha mambo kwa minajili ya kidini, kikabila na kikanda kwa vithibitisho.
Wabunge wa majimbo ni hawa wafuatao;
Freeman Mbowe, John Mnyika, Halima James Mdee, Highness Kiwia, Ezekia Wenje, mchungaji Peter Msigwa, Joseph Mbilinyi, Vicent Nyerere, John Shibuda, mchungaji Israel Natse, Godbless Lema, Zitto Kabwe, Tundu Lissu, Said Arfi, Philemon Ndesambulo, Joshua Nassari, Prof. Kulikoyela Kahigi.
Wabunge wa viti maalumu ni hawa wafuatao;
Lucy Owenya, Esther Matiko, Mhonga Luhanywa, Anna Mallac, Paulina Gekul, Conchesta Rwalumulaza. Wengine ni Suzan Kiwanga, Grace Kiwelu, Suzan Lyimo, Christowaja Mtinda, Anna Komu, Joyce Mukya, Leticia Mageni Nyerere, Naomi Kaihula, Chiku Abwao, Rose Kamili, Christina Lissu, Raya Ibrahim Khamis (Zanzibar), Philipa Mturano, Mariam Msabaha (Zanzibar) na Rachel Mashishanga.
Hitimisho,
Kwa uchambuzi makini na yakinifu wa hiyo orodha, utagundua kuwa kuna ubaguzi mkubwa wa utoaji wa fursa kwa waislamu ukilinganisha na fursa walizopata wakristo. Hivyo basi, katika hali kama hii ya karibu 90% ya wabunge ni wakristo na 10% tu ndio waislamu,CHADEMA inaponyooshewa kidole kuwa ni chama cha kidini isikatae na kubisha.
Inaposemekana kuwa CHADEMA ni chama cha kikanda na kidini, sio kwamba maneno hayo yanatoka kwa hisia tu,lah hasha, bali ni mfumo uliopo huko CHADEMA katika utoaji wa fursa za uongozi ndio wenye ubaguzi wa dini na ukanda.
Mfumo uliopo CHADEMA sio ule wa usawa katika kutoa nafasi za watu kugombea, ni mfumo wenye kuangalia mambo fulani fulani ambayo kwenye jamii yetu ya kitanzania hayana umuhimu, lakini ndani ya CHADEMA upewa kipaumbele!
Leo sitakuwa na mengi sana, ila nimeweka vielelezo kwenye huu uzi, ili basi nyinyi wenyewe mjionee hali halisi ilivyo huko CHADEMA katika usawa wa utoaji fursa, yaani bila kuangalia dini ya mtu, ukabila ama ukanda wa alikotoka mtu.
Vielelezo vyenyewe ni majina ya wabunge wetu wa CHADEMA (wale wa majimboni na viti maalumu), wanaJF ni wakati sasa wa kujua ukweli kuhusu chama kinacho endesha mambo kwa minajili ya kidini, kikabila na kikanda kwa vithibitisho.
Wabunge wa majimbo ni hawa wafuatao;
Freeman Mbowe, John Mnyika, Halima James Mdee, Highness Kiwia, Ezekia Wenje, mchungaji Peter Msigwa, Joseph Mbilinyi, Vicent Nyerere, John Shibuda, mchungaji Israel Natse, Godbless Lema, Zitto Kabwe, Tundu Lissu, Said Arfi, Philemon Ndesambulo, Joshua Nassari, Prof. Kulikoyela Kahigi.
Wabunge wa viti maalumu ni hawa wafuatao;
Lucy Owenya, Esther Matiko, Mhonga Luhanywa, Anna Mallac, Paulina Gekul, Conchesta Rwalumulaza. Wengine ni Suzan Kiwanga, Grace Kiwelu, Suzan Lyimo, Christowaja Mtinda, Anna Komu, Joyce Mukya, Leticia Mageni Nyerere, Naomi Kaihula, Chiku Abwao, Rose Kamili, Christina Lissu, Raya Ibrahim Khamis (Zanzibar), Philipa Mturano, Mariam Msabaha (Zanzibar) na Rachel Mashishanga.
Hitimisho,
Kwa uchambuzi makini na yakinifu wa hiyo orodha, utagundua kuwa kuna ubaguzi mkubwa wa utoaji wa fursa kwa waislamu ukilinganisha na fursa walizopata wakristo. Hivyo basi, katika hali kama hii ya karibu 90% ya wabunge ni wakristo na 10% tu ndio waislamu,CHADEMA inaponyooshewa kidole kuwa ni chama cha kidini isikatae na kubisha.