Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,370
- 15,110
Kwa maoni yangu nafikiri/naamini kwamba watu ambao SIYO Wabaguzi kama vile sisi (Waafrika/Watz) tuna IQ ndogo ikilinganishwa na wale ambao ni Wabaguzi (Wazungu, Waasia,Waarabu, Wahindi n.k).
Nasema hivyo kwa sababu huwa najiuliza hivi ni kwa nini sisi (Watz) siyo Wabaguzi?
Ni kwa nini tunawakubali watu wote bila kuwabagua? Wakati Jamii nyingine (IQ Kubwa) huwa hamna kitu kama hicho, huwa wanajipendelea wao kwanza na kuwabagua takataka wengine wote...
Ukiangalia hapa kwetu kwa mfano ni Jambo la kawaida sana kukuta Mtz analalamika kwamba ni kwa nini ni ngumu kwake kuoa Msichana wa Kihindi au Kiarabu wakati huwezi kukuta Muhindi ama Mwarabu ana ndoto ya kuoa msichana wa Kitanzania (asilia) kwanza kwao ni kama laana vile lkn kwetu ni kama Neema, sasa Je hapo ni kwa nini?
Je ni kwa sababu tuna IQ ndogo? Yaani uwezo wa kufikiri ambao ndio unamuwezesha Mtu kujua thamani ya Utu wake na kujithamini kwanza?
Je, ni kwa nini ni kawaida kusikia Mtz (ndani ya TZ) akilalamika kwamba Wahindi au Waarabu wanambagua kwa nini isiwe kinyume chake yaani kwamba Wahindi na Waarabu kwa kuwa ndio wachache wawe wanalalamika kubaguliwa na sisi?
Je ya kulaumu Hapo ni IQ yetu ndogo?
Kwa maana Dunia nzima wachache ndio hulia kubaguliwa na wengi, pia wageni ndio hulazimika kukubalika na wenyeji lkn kwetu ni kinyume sisi ndio tunalazimisha kukubaliwa na Wahindi, waarabu Wazungu, Wachina n.k sasa Kwa nini?
Yaani kwa nini sisi SIYO Wabaguzi?
Nasema hivyo kwa sababu huwa najiuliza hivi ni kwa nini sisi (Watz) siyo Wabaguzi?
Ni kwa nini tunawakubali watu wote bila kuwabagua? Wakati Jamii nyingine (IQ Kubwa) huwa hamna kitu kama hicho, huwa wanajipendelea wao kwanza na kuwabagua takataka wengine wote...
Ukiangalia hapa kwetu kwa mfano ni Jambo la kawaida sana kukuta Mtz analalamika kwamba ni kwa nini ni ngumu kwake kuoa Msichana wa Kihindi au Kiarabu wakati huwezi kukuta Muhindi ama Mwarabu ana ndoto ya kuoa msichana wa Kitanzania (asilia) kwanza kwao ni kama laana vile lkn kwetu ni kama Neema, sasa Je hapo ni kwa nini?
Je ni kwa sababu tuna IQ ndogo? Yaani uwezo wa kufikiri ambao ndio unamuwezesha Mtu kujua thamani ya Utu wake na kujithamini kwanza?
Je, ni kwa nini ni kawaida kusikia Mtz (ndani ya TZ) akilalamika kwamba Wahindi au Waarabu wanambagua kwa nini isiwe kinyume chake yaani kwamba Wahindi na Waarabu kwa kuwa ndio wachache wawe wanalalamika kubaguliwa na sisi?
Je ya kulaumu Hapo ni IQ yetu ndogo?
Kwa maana Dunia nzima wachache ndio hulia kubaguliwa na wengi, pia wageni ndio hulazimika kukubalika na wenyeji lkn kwetu ni kinyume sisi ndio tunalazimisha kukubaliwa na Wahindi, waarabu Wazungu, Wachina n.k sasa Kwa nini?
Yaani kwa nini sisi SIYO Wabaguzi?