Nifuraha tu jamani mbona wachezaji ulaya wanavua nguo na kutakuwa na chupi tu hamsemi mwacheni aonyeshe furaha yake ya ushindi kwa simba. Simba hoyeeeeeeeeeeeee Fc Barcelona juuuuuuuuuuuuuuuuu zaidi
Nadhani sio ajabu,mbona ulaya watu wanavua nguo na kuingia katikati ya uwanja. ''kipendacho roho,ula nyama mbichi.