joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
umekosea jukwaa kaka,ipeleke kwenye mapenzi,mahusiano na urafikidu jamani mke wangu nampenda na amesaliti mara kibao lakini kumwacha nimeshindwa mana akiwa mbali nami huwa nakumbuka alivyo sexy roho inauma namrudisha,nifanyeje?
du jamani mke wangu nampenda na amesaliti mara kibao lakini kumwacha nimeshindwa mana akiwa mbali nami huwa nakumbuka alivyo sexy roho inauma namrudisha,nifanyeje?
Mkuu avatar yako inashtua sanaumekosea jukwaa kaka,ipeleke kwenye mapenzi,mahusiano na urafiki
Mkuu avatar yako inashtua sana
hahahaaaa haha ahha hahahahihihihihiiiiiii inawezekana mzee..! dah pole sana asee..! dah kama imefikia hivyo asee kweli umerogwa mwenzetu... aaah wewe sio mwenzetu bwana..! tafuta wenzako..!Huna cha kufanya maana ndo fungu ulilochagua.
Mtengee chumba cha pili cha kuwa wanakuja kumkamulia home angalau uwe-unamonitor ni type zipi zinakamua kwa usalama wenu.
Au chunguza booklet nyuma labda wenzako wanaandika huko.