USB Internet yangu inasumbua

USB Internet yangu inasumbua

Naantombe Mushi

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
6,254
Reaction score
15,735
Habarini wadau. Kama wiki moja hivi simu yangu imekataa kabisa ku share internet kwenye computer.

Nikienda kwenye setting kuna sehem ilikuwa inanipa option ya usb ili ni connect internet lakini kwa hii wiki moja hiyo sehem ya ku connect usb internet imepotea ghafla.

Kama kuna mtaalam naomba anisaidie maana sielewi nini kimetokea. Simu yangu ni tecno p6 mini

Asanteni.​
 
Habarini wadau. Kama wiki moja hivi simu yangu imekataa kabisa ku share internet kwenye computer.

Nikienda kwenye setting kuna sehem ilikuwa inanipa option ya usb ili ni connect internet lakini kwa hii wiki moja hiyo sehem ya ku connect usb internet imepotea ghafla.

Kama kuna mtaalam naomba anisaidie maana sielewi nini kimetokea. Simu yangu ni tecno p6 mini

Asanteni.​
Unatumia Android toleo lipi?
 
Back
Top Bottom