USAWA uko wapi kwenye ongezeko la posho za kujikimu

Bulesi

Platinum Member
May 14, 2008
14,211
13,726
Serikali imeongeza posho ya kujikimu safarini kutoka shs. 120,000 hadi shs. 250,000 kwa daraja la juu na kutoka shs. 80,000 hadi shs. 100,000 kwa sisi makabwela.

Ukiangalia hayo mabadiliko utaona kwamba wakubwa wamejiongezea hizo posho kwa zaidi ya 108% lakini nyongeza ya sisi hohe hahe ni kiduchu tu cha 25%!!!

Kuna justification gani ya kuwa na tofauti kubwa ya 83% kati ya nyongeza ya makundi haya ya binadamu?
 
Serikali imeongeza posho ya kujikimu safarini kutoka shs. 120,000 hadi shs. 250,000 kwa daraja la juu na kutoka shs. 80,000 hadi shs. 100,000 kwa sisi makabwela.

Ukiangalia hayo mabadiliko utaona kwamba wakubwa wamejiongezea hizo posho kwa zaidi ya 108% lakini nyongeza ya sisi hohe hahe ni kiduchu tu cha 25%!!!

Kuna justification gani ya kuwa na tofauti kubwa ya 83% kati ya nyongeza ya makundi haya ya binadamu?
Kwanini, mshahara wa Mtumishi ngazi ya cheti haulingani na ngazi ya shahada wakati wote ni binadamu wenye Mahitaji?
 
Kwanini, mshahara wa Mtumishi ngazi ya cheti haulingani na ngazi ya shahada wakati wote ni binadamu wenye Mahitaji?

Hujanijibu swali langu. Nimeuliza justification ya tofauti hiyo ya nyongeza?
 
Ndumbaro nadhani atakuwa alijichanganya wakati anaongea, maana ukiangalia documents zinaonyesha ongezeko ni kutoka 120k mpaka 150k kwa hiyo kada ya juu na siyo 250k kama aliyotamka yeye. Hopeful watatoa maelezo ya kueleweka

If that is the case it will make sense!!
 
Oneeni huruma wananchi wanaolima kwa jembe la mikono mkatae hizo posho ziwatunze wazee
Kwahiyo Mtumishi Kama Yuko Musoma, anatakiwa kutumia mshahara wake ambao na wenyewe Ni kiduchu kwenda Dodoma kufanya kazi za serikali??

Au kwa utaratibu mtumishi anafanya kazi masaa 8, sehemu aliyopo Hakuna wafanyakazi anafanya kazi masaa 24 hatakiwi kulipwa ?

Posho siyo mbaya, posho mbaya Ni Kama za wabunge ambazo Hazina maana yoyote.
 
Serikali imeongeza posho ya kujikimu safarini kutoka shs. 120,000 hadi shs. 250,000 kwa daraja la juu na kutoka shs. 80,000 hadi shs. 100,000 kwa sisi makabwela.

Ukiangalia hayo mabadiliko utaona kwamba wakubwa wamejiongezea hizo posho kwa zaidi ya 108% lakini nyongeza ya sisi hohe hahe ni kiduchu tu cha 25%!!!

Kuna justification gani ya kuwa na tofauti kubwa ya 83% kati ya nyongeza ya makundi haya ya binadamu?
Kaa kimya weye sindano ingie...
 
Ongezeko la foreign perdiem mkitangaziwa mtapata vidonda via tumbo bora waendelee kukaa kimya
 
Serikali imeongeza posho ya kujikimu safarini kutoka shs. 120,000 hadi shs. 250,000 kwa daraja la juu na kutoka shs. 80,000 hadi shs. 100,000 kwa sisi makabwela.

Ukiangalia hayo mabadiliko utaona kwamba wakubwa wamejiongezea hizo posho kwa zaidi ya 108% lakini nyongeza ya sisi hohe hahe ni kiduchu tu cha 25%!!!

Kuna justification gani ya kuwa na tofauti kubwa ya 83% kati ya nyongeza ya makundi haya ya binadamu?
Tokea lini ulisikia kuna usawa kati ya maboss na watumishi wa chini? Dunia imeumbwa hivyo, kubaliana nayo tu, kama hutaki acha kazi.
 
Back
Top Bottom