Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
"Vyama vipo, viko huru. Vinaendesha shughuli zao. Wanapanda majukwaani, wanafanya maandamano, wanasema wanachosema. .............
"Mimi sijui mtu anaposema hakuna dhamira ya dhati ya demokrasia anamaanisha nini; maana unakuwa na chama cha siasa na kipo huru kumwaga sera zake"
Mkwere huyo wana-jamvi. (23 June 2007)
Changanya na zako!!!!
Source: Raia Mwema
"Mimi sijui mtu anaposema hakuna dhamira ya dhati ya demokrasia anamaanisha nini; maana unakuwa na chama cha siasa na kipo huru kumwaga sera zake"
Mkwere huyo wana-jamvi. (23 June 2007)
Changanya na zako!!!!
Source: Raia Mwema