Usanii katika Ziara ya Kinana Inayoitwa ya Mafanikio

Usanii katika Ziara ya Kinana Inayoitwa ya Mafanikio

Dr. Slaa alikuwa anazunguka na Josephine USA anakula maraha. Huku CCM wanajumuika na wananchi. Alijipojaribu Kigoma mabango, mawe na mabomu.

Bila kumtaja Slaa haupati posho?
 
nimeipenda hiyo ya kinana. wataendesha sana vigari vya watoto hapo baadaye.
 
Haki ya mungu kama kazi yenyee walokua nayo ndyo hii baaaaaaasi
attachment.php
 
Karne hii huwezi igiza vitu vya kipuuzi namna hii au hawa jamaa wanadhani wanatawala karne ya 19 eti shule hazina madawati, hospital madawa hakuna umeme juu umaskini umekithiri hakuna asiyejua yote haya yamesababishwa na serikali ya ccm shame on them
 
Wana JF,

Kwa kweli hawa jamaa inaonekana uzalendo wao wanautimiza kwa kula maharage na ubwabwa na walalahoi siku ya kuwatembelea tu, lakini siku wanakosa maji, vifaa vya kujengea, vifaa mashule, laboratory na vyombo vya usafiri kama treni, meli wanasema bado kidogo ahadi zenu kutekelezwa hivi karibuni. Aidha wananchi wameanza kugundua janja yao ya kutafuta kura hili wale.

Ijapokuwa mmojawapo angalau anajua kuwa wakati wowote UKAWA wanaweza kuchukua nchi ameanza kuchukua tahadhali kutoisema vibaya CHADEMA kwani anaona tambo zake kuwa za huhakika, Kinana ni mtu anayeaminiwa kuwa angalau amerudisha hadhi ya CCM hadi wananchi wanaweza vaa nguo za CCM mitaani wasipate shida kuzomewa
Hapo chini wakifakamia msosi

10523933_1415182508807638_950165213672165345_n.jpg
 
haa haa ccm itimize ahadi zake kwa wananchi kwanza. ccm iliwahaidi wakazi wa ziwa nyasa kwamba watapewa meli mpya. iko wapi? pia jk na ccm yake waliahidi kuunganisha mkoa wa ruvuma na gridi ya umeme wa taifa toka makambako. mpaka sasa hakuna kilichofanyika. pia ccm ilihaidi wana nchi wa kusini kujenga barabara ya lami toka mtwara mpaka mbambabay.. lini itakamilisha ahadi hizi? au zipo kwenye ilani ijayo?
 
Back
Top Bottom