inauma sana unaposalitiwa na mpenzi mkiwa eneo moja na jioni mlikuwa wote.
Ndio yaliyonitokea kwa mrembo neema mwambao lake tanganyika.uamuzi wangu tofauti sana na wanaume wengi me nikiprove kwa data sirudii mtu.
Wewe vipi mdau
Data zinaonesha kwamba ni aina ya madada wasiojua kukataa,ni wale wenye machoz meng ya kujhami.
Kwani alikuambia anashida ya kuolewa na wewe. Alikujaribu tu wanaume bwana, Kwani unafikiri kuwa na wewe ndio nimeshajibinafsisha kwako. Eeee Miss chagga njoo huku wametuanza tena hawa. Wakati jana tulisema hatutaki kusemwa humu.
Maji hufuata mkondo u miongon mwa vicheche
Maji hufuata mkondo u miongon mwa vicheche[/QUOTE
Wee shika adabu yako wewe. Subiria matokeo ya form IV yatoke na utakuwa umepata division 5 wewe.
Maji hufuata mkondo u miongon mwa vicheche[/QUOTE
Wee shika adabu yako wewe. Subiria matokeo ya form IV yatoke na utakuwa umepata division 5 wewe.
Una onyesha wazi huna malezi, kutukanaa hakukufanyi ukawa mtu unajishushia hadhi tu, kua na heshima, adabu unge anza kua nayo wewe.. Funika kombe mwanaharamu apite, Kama hata maana yake unaiju...