Usalama wa Taifa haujadiliwi

Usalama wa Taifa haujadiliwi

Thadei Ole Mushi
April 11 at 6:19pm
TISS NI TAASISI NYETI SANA KWA TAIFA HILI.

Na Thadei Ole Mushi.

Idara ya Usalama wa Taifa haujadiliwi hadharani. Ni taasisi nyeti sana kwa mustakabali wa Nchi. Hata Bajeti yake huwa haijadiliwi hadharani.

Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake. Kwangu binafsi naona si sahihi sana kuijadili hadharani kwa kufanya hivyo ni kukiuka mila na Desturi za taasisi hii.

MY TAKE: - UMUHIMU WA KITU HAUKIFANYI KITU KUWA JUU YA SHERIA KATIBA AMA HAKI ZA RAIA HURU NCHINI AKIWA NDANI YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAKE KISHERIA NA KIKATIBA PASI NA KUDHURU USALAMA WA NCHI NA RAIA.

KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KUDHIBITI VITENDO VYENYE KUHATARISHA DEMOKRASIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.
Kwan we hapa JF umeleta mada ili tufanye nn kama sio kujadili...??
 
Usipojadili usalama wa taifa utajuaje kwamba kinachoitwa usalama wa taifa ni usalama wa taifa kweli au mawenge?

Granted, kuna uhalali wa vitu fulani kuwa "classified" kwa sababu maalum za kiusalama, hili linajulikana dunia nzima.

Kwa sababu maalum. Siyo kusema kwa mkumbo tu "usalama wa taifa haujadiliwi".

Watu wataiba fedha na kusema ni kwa sababu za "usalama wa taifa".

Kama haujadiliwi, mtaulizaje?
 
Sijui mtu akishutumiwa kutenda kosa e.g. muuza madawa na kuitwa kuhojiwa ni kosa la wanausalama?. Mtu KUKAMATWA kwa tuhuma, hili nalo ni KUTEKWA?.

Swali lingine, je kama Demokrasia na amani inavunja usalama wa nchi na kuangamiza taifa tufanyaje kuokoa Nchi?. Ni kweli Dar sio salama kwa mafisadi na wauza unga. Fahamu tu kuwa TZ inafahamika Duniani kwa maunga. Serikali hii itawaudhi sana wauza unga na mafisadi.
NI WAZALENDO WA KWELI TU NDIO WANAMUELEWA MH. RAIS NA VYOMBO VYA USALAMA PIA MAKONDA. Wengine ni wanajaribu kuvuta sharubu na kukiona cha moto na wengine wafuata mkumbo bila kujua ukweli.
 
Thadei Ole Mushi
April 11 at 6:19pm
TISS NI TAASISI NYETI SANA KWA TAIFA HILI.

Na Thadei Ole Mushi.

Idara ya Usalama wa Taifa haujadiliwi hadharani. Ni taasisi nyeti sana kwa mustakabali wa Nchi. Hata Bajeti yake huwa haijadiliwi hadharani.

Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake. Kwangu binafsi naona si sahihi sana kuijadili hadharani kwa kufanya hivyo ni kukiuka mila na Desturi za taasisi hii.

MY TAKE: - UMUHIMU WA KITU HAUKIFANYI KITU KUWA JUU YA SHERIA KATIBA AMA HAKI ZA RAIA HURU NCHINI AKIWA NDANI YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAKE KISHERIA NA KIKATIBA PASI NA KUDHURU USALAMA WA NCHI NA RAIA.

KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KUDHIBITI VITENDO VYENYE KUHATARISHA DEMOKRASIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.
KWAKUWA KASEMA ZITO KABWE NA LISU WAMEISHA KUAMINISHA UNACHO KISEMA AKISEMA KAMANSA SIRO NA WAZIRI WA ULINZI YOU DONT...OOOWW THUS IT.....
 
KWAKUWA KASEMA ZITO NA LISSU UMEANI WALICHOKISEMA ILA ALICHOKISEMA KAMANDA SIRO NA WAZIRI WA ULINZI YOU DON'T...HAHAHAHA THUS IT...
 
Thadei Ole Mushi
April 11 at 6:19pm
TISS NI TAASISI NYETI SANA KWA TAIFA HILI.

Na Thadei Ole Mushi.

Idara ya Usalama wa Taifa haujadiliwi hadharani. Ni taasisi nyeti sana kwa mustakabali wa Nchi. Hata Bajeti yake huwa haijadiliwi hadharani.

Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake. Kwangu binafsi naona si sahihi sana kuijadili hadharani kwa kufanya hivyo ni kukiuka mila na Desturi za taasisi hii.

MY TAKE: - UMUHIMU WA KITU HAUKIFANYI KITU KUWA JUU YA SHERIA KATIBA AMA HAKI ZA RAIA HURU NCHINI AKIWA NDANI YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAKE KISHERIA NA KIKATIBA PASI NA KUDHURU USALAMA WA NCHI NA RAIA.

KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KUDHIBITI VITENDO VYENYE KUHATARISHA DEMOKRASIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.


Ukimtukana rais au kumzushia uongo au ku mu abstract katika wake mwema unahatarisha usalama Wa taifa
 
Thadei Ole Mushi
April 11 at 6:19pm
TISS NI TAASISI NYETI SANA KWA TAIFA HILI.

Na Thadei Ole Mushi.

Idara ya Usalama wa Taifa haujadiliwi hadharani. Ni taasisi nyeti sana kwa mustakabali wa Nchi. Hata Bajeti yake huwa haijadiliwi hadharani.

Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake. Kwangu binafsi naona si sahihi sana kuijadili hadharani kwa kufanya hivyo ni kukiuka mila na Desturi za taasisi hii.

MY TAKE: - UMUHIMU WA KITU HAUKIFANYI KITU KUWA JUU YA SHERIA KATIBA AMA HAKI ZA RAIA HURU NCHINI AKIWA NDANI YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAKE KISHERIA NA KIKATIBA PASI NA KUDHURU USALAMA WA NCHI NA RAIA.

KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KUDHIBITI VITENDO VYENYE KUHATARISHA DEMOKRASIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.

Hacheni mbwembwe zenu na hadaa kwa umma.
Si mseme tu hiyo taasisi yenu imejikita zaidi kiasiasa kuliko kwenye majukumu ya kitaifa? US,UK na nchi nyingine zilizoendelea hao wakuu wa taasisi hizo kila mara wanakua grilled na mabunge ya kwao kila siku when things go wrong. Mfano kwa issue hii ya utekaji watu,Escrow na madudu mengine hao wengekuwa wameitwa kuhojiwa,lakini hapa kwetu tumewafanya kama malaika,hawaguswi,which is wrong.
 
Mleta mada yuko sahihi mia ya mia. Huwezi jadili usalama wa taifa jf wala facebook wala twita.
matendo yao ndio yamefanya mpaka watu watake ijadiliwe, mbona huko nyuma haikuwa hivi? jiulize imekuwaje mpaka inapigiwa kelele namna hii?
 
Mshaanza kuropoka tena... Acha kazi ifanyike, mtoto wako akikunyea haukati mkono wako, kosa la mtu moja usihitimishe kwa wote, watu hawalali kwa ajili yako unapata mda wa kupost hata Usiku kwa Uhuru kama huo..heshimu wanaojitoa maisha kulinda nchi yako.
Eti hawalali kwa ajili yako? .

Kama wangekuwa hawalali makontena ya udongo wa madini yasinge safirishwa kisiri kwa miaka zaidi ya 20 na kulipatia taifa hasara.

Kama Wangekuwa hawalali wahamiaji haramu wasingezangaa ovyo mitaa.

Kama wangekuwa hawalali wangeweza mbele maslahi ya taifa badala ya kutumika katika kudhoofisha upinzani.

Nitaendelea.....
 
H
NI WAZALENDO WA KWELI TU NDIO WANAMUELEWA MH. RAIS NA VYOMBO VYA USALAMA PIA MAKONDA. Wengine ni wanajaribu kuvuta sharubu na kukiona cha moto na wengine wafuata mkumbo bila kujua ukweli.
Hii nchi yetu Tanzania haijawahi hata mara moja kufikia hatua kama hii " je kama Demokrasia na amani inavunja usalama wa nchi na kuangamiza taifa tufanyaje kuokoa Nchi?. "......halafu s lazima kutesa wala kuudhi uliyemkamata ......watu hao wangewekwa sehemu salama na kuhojiwa nini kifanyike kuelekea mawazo yao na kufuata ushauri wao wakiwa huko hakuna mtanzania angewanyooshea kidole!!..Upumbavu ni mateso na mauaji!!
 
Twiga walivyopanda ndege wao walikuwa wakipiga Selfie?

Acheni ukuda TISS ni iko imara kwa manufaa ya kikundi cha watu na Sio Taifa.

Hatutakiwi kuwajadili ila tunawahoji.
Kama bajeti yao inatokana na vyanzo wanavyovijua wao na sio pesa za walipa kodi wa Tanzania basi wana haki ya kutohojiwa.
 
Acheni kutufanya vilaza skuizi kuna internet.CIA na FBI pamoja na unyeti na nguvu zao lakini bado wamejadiliwa na kuchunguzwa seuze TISS,as long as mishahara na matumizi yao yanatokana na kodi zetu lazima wajadiliwe,tena wazi bila kificho,wao sio cult ama secret society,lazima wawe scrutinised.
cb402241e9f90affc6d6547931f3a680.jpg
hapa ndipo mnapokesea, kuifananisha TISS na watoa huduma wengine wanaofanya kazi kama za TISS.
Kuna aina nyingi za utekelezaji/hutoaji wa huduma hii. Na hiki ndicho kinafanya watoa huduma kutofautiana. Usishangae kupata habari kwamba watoa huduma hao uliowataja kuwa huwa wanajadiliwa hadharani, ndiyo hao hao wanakuja kuomba ushauri huku katika masuala ya utoaji huduma huko kwao ama sehemu nyingine duniani.

Huduma hii inahitaji rasilimali watu, rasilimali watu maalum, rasilimali vitu na rasilimali vitu maalum. Rasilimali muhimu kuliko zote nilizotaja katika utoaji huduma hii ni rasilimali watu maalum. Kama watoa huduma hawa hawana rasiimali watu maalum wakutosha basi hao ni watoa huduma dhaifu kabisa. Usishangae pia kuambiwa pia nchi hii ina rasilimali watu maalum wakutosha kuliko unavyofikiria!
 
Kujadili kitu usichokijua ni sawa na bure.
Tufanye yetu yanayotuhusu.
Hao wanataka kujadili waendelee kujadili.
 
Hawa watu wanafanya Kazi ngumu kuhakikisha mambo yanaenda sawa miaka yote hiyo,Leo hii tusiichafue taasisi kwa mambo yanaotendwa na watu wachache ambayo yanaweza kuwa sio maagizo ya kiofisi Bali tu utumiaji mmbaya wa jina LA ofisi.Kiongozi mpya ameingia ofisini tumpeni muda tumwache afanye Kazi zake za kiusalama,sisi tuendeleeni na [HASHTAG]#siasa[/HASHTAG] zetu za nyuma ya keyboard.
Samaki mmoja akioza......

Taasisi umevamiwa na wanasiasa uchwara.
 
Back
Top Bottom