titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,806
Mkuu nimeelewa muktadha wako ila bado inaonyesha bado hujaujua ukubwa wa agency nlizotaja,ni matusi kuishindanisha TISS na CIA,umesahau kipindi cha mauji ya wachungaji zenji mliwaomba wao msaada,how come TISS walishindwa kukabiliana na ishu ndogo tu ya homicide.TISS wanachojua ni kungoa watu kucha tu na kuteka watu pamoja na eavesdroping tena eavsdroping ya kizamani sana.hapa ndipo mnapokesea, kuifananisha TISS na watoa huduma wengine wanaofanya kazi kama za TISS.
Kuna aina nyingi za utekelezaji/hutoaji wa huduma hii. Na hiki ndicho kinafanya watoa huduma kutofautiana. Usishangae kupata habari kwamba watoa huduma hao uliowataja kuwa huwa wanajadiliwa hadharani, ndiyo hao hao wanakuja kuomba ushauri huku katika masuala ya utoaji huduma huko kwao ama sehemu nyingine duniani.
Huduma hii inahitaji rasilimali watu, rasilimali watu maalum, rasilimali vitu na rasilimali vitu maalum. Rasilimali muhimu kuliko zote nilizotaja katika utoaji huduma hii ni rasilimali watu maalum. Kama watoa huduma hawa hawana rasiimali watu maalum wakutosha basi hao ni watoa huduma dhaifu kabisa. Usishangae pia kuambiwa pia nchi hii ina rasilimali watu maalum wakutosha kuliko unavyofikiria!
Wapo kwa maslahi ya watawala na sio wananchi,kiteknolojia ndo wako nyuma kabisaa