Usalama wa Taifa haujadiliwi

Usalama wa Taifa haujadiliwi

hapa ndipo mnapokesea, kuifananisha TISS na watoa huduma wengine wanaofanya kazi kama za TISS.
Kuna aina nyingi za utekelezaji/hutoaji wa huduma hii. Na hiki ndicho kinafanya watoa huduma kutofautiana. Usishangae kupata habari kwamba watoa huduma hao uliowataja kuwa huwa wanajadiliwa hadharani, ndiyo hao hao wanakuja kuomba ushauri huku katika masuala ya utoaji huduma huko kwao ama sehemu nyingine duniani.

Huduma hii inahitaji rasilimali watu, rasilimali watu maalum, rasilimali vitu na rasilimali vitu maalum. Rasilimali muhimu kuliko zote nilizotaja katika utoaji huduma hii ni rasilimali watu maalum. Kama watoa huduma hawa hawana rasiimali watu maalum wakutosha basi hao ni watoa huduma dhaifu kabisa. Usishangae pia kuambiwa pia nchi hii ina rasilimali watu maalum wakutosha kuliko unavyofikiria!
Mkuu nimeelewa muktadha wako ila bado inaonyesha bado hujaujua ukubwa wa agency nlizotaja,ni matusi kuishindanisha TISS na CIA,umesahau kipindi cha mauji ya wachungaji zenji mliwaomba wao msaada,how come TISS walishindwa kukabiliana na ishu ndogo tu ya homicide.TISS wanachojua ni kungoa watu kucha tu na kuteka watu pamoja na eavesdroping tena eavsdroping ya kizamani sana.
Wapo kwa maslahi ya watawala na sio wananchi,kiteknolojia ndo wako nyuma kabisaa
 
Kwa mwendo huu wa kuhusishwa na Utekaji wa Raia LAZIMA TISS WAJADILIWE.
Unanikumbusha bwana mmoja aliyeitwa MALIYAMUNGU, huyu aliongoza kitengo ndani ya taasisi ya kijasusi ya Uganda(STATE RESEARCH BUREAU) ya kipindi kile cha nduli idi amin dada.

MALIYAMUNGU aliratibu utekaji, utesaji na mauaji ya wale wote walionekana ni hatari kwa serikali ya idi amin.
 
Thadei Ole Mushi
April 11 at 6:19pm
TISS NI TAASISI NYETI SANA KWA TAIFA HILI.

Na Thadei Ole Mushi.

Idara ya Usalama wa Taifa haujadiliwi hadharani. Ni taasisi nyeti sana kwa mustakabali wa Nchi. Hata Bajeti yake huwa haijadiliwi hadharani.

Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake. Kwangu binafsi naona si sahihi sana kuijadili hadharani kwa kufanya hivyo ni kukiuka mila na Desturi za taasisi hii.

MY TAKE: - UMUHIMU WA KITU HAUKIFANYI KITU KUWA JUU YA SHERIA KATIBA AMA HAKI ZA RAIA HURU NCHINI AKIWA NDANI YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAKE KISHERIA NA KIKATIBA PASI NA KUDHURU USALAMA WA NCHI NA RAIA.

KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KUDHIBITI VITENDO VYENYE KUHATARISHA DEMOKRASIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.
Usalama wa taifa lipi? Hawa watekwao?
 
Kna wapumbav wachache ni zero kbs,mtu unaakaa bila waswas,unaenda job bla waswas..unalala murua tna hku unagegeda bla waswas wakat Tiss 24/7 wapo busy...kujadil hii sekta jaman ooh..naishia apa..kusaka sfa za mitandaoni kutawaponza watu..wale sio polc o sungus..wale n spies,,over!!!
Eti spies? Wakati makontena ya udongo wa madini yakivushwa kwa Kipindi cha miaka 20, wao walikuwa wapi?
 
[QUOTE="gkutta, post: 20646646, member: 7

KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KSIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.[/QUOTE]Hii taasisi ipo imara sana ila tatizo haijapewa meno ya kutosha na kingine wanasiasa ndiyo wanaiharbu wanapenda iende kisiasa siasa ila bado ninaimani nakupa hawa watu
 
Mleta mada yuko sahihi mia ya mia. Huwezi jadili usalama wa taifa jf wala facebook wala twita.
Kama CIA wanapo tesa na kunyanyasa watu wanajadiliwa na kuundiwa tume za kuwachunguza itakuwa majambazi na wabakaji hawa?
Wacheni woga wa kijinga na kujipendekeza kitoto toto.
 
Ukiwa mtumwa wa wanasiasa kamwe hautoweza kuchanganua mambo....

Utageuzwa geuzwa km mpunbavu kila baada ya siku...

Leo kaongea bashe... we umelidaka bila hata uchunguzi unalikuza.... hii ndio tanzania.. kesho ataongea zito utalidaka utalitukuza... unasubir na lissu aongee lake... km kawaida utaruka nalo....

Ila haujui kaongea vile kwa nin wala kwa manufaa ya nani....
We bendera tu unafata upepo km mke wa pili..

Embu acha kushikiwa akili na watu wachache kwa itikadi zao binafsi.....

Kuwa mwepesi kusikiliza kila kitu... vichambue vifanyie utafiti ubaki na cream ya habar kamili...

Mtoto wa kiume unasubir bashe aongeee baada ya kutekwa roma then na we unadakia.


TISS sio shirika la nyumba.... TISS sio media hawako kwa ajil ya publicity.
TISS sio genge au forum km jamii...


TISS ni idara nyeeti inayofanya mambo yake kwa weled wa hali ya juu.... pasipo mim na weww ambao ni watu wa kawaida kutambua kinachoendelea....
Wale twiga walisafirishwa vipi?
 
Mkuu nimeelewa muktadha wako ila bado inaonyesha bado hujaujua ukubwa wa agency nlizotaja,ni matusi kuishindanisha ....
Nina wasiwasi mkubwa kuwa yawezekana haujaelewa muktadha wangu! Mimi sijashindanisha mtoa huduma yeyote. Nilichokifanya ni kueleza ukweli juu ya vitu muhimu vitumikavyo kutoa huduma hii. Nikasisitiza umuhimu wa kuwa na rasilimali watu maalum katika utoaji huduma. Ebu fuatilia kwenye vyanzo vyako mbalimbali vya habari juu ya umuhimu wa rasilimali nilizotaja katika kutoa huduma hii, nina hakika utauelewa muktadha wangu sawia
 
Eti hawalali kwa ajili yako? .

Kama wangekuwa hawalali makontena ya udongo wa madini yasinge safirishwa kisiri kwa miaka zaidi ya 20 na kulipatia taifa hasara.

Kama Wangekuwa hawalali wahamiaji haramu wasingezangaa ovyo mitaa.

Kama wangekuwa hawalali wangeweza mbele maslahi ya taifa badala ya kutumika katika kudhoofisha upinzani.

Nitaendelea.....
Sasa kama mkuu/ nosi wa kipindi hicho alikuwa ameruhusu unadhani wangeenda kukamata kinyume na maelekezo....na ulijuaje kama taarifa zao zilikuwa wakitipoti hazifanyiwi utekelezaji ?
Anyway unaweza dhihaki kuwa hawafanyi kazi ni maoni yako pia na una Uhuru wa kuandika kabisa....
 
Nina wasiwasi mkubwa kuwa yawezekana haujaelewa muktadha wangu! Mimi sijashindanisha mtoa huduma yeyote. Nilichokifanya ni kueleza ukweli juu ya vitu muhimu vitumikavyo kutoa huduma hii. Nikasisitiza umuhimu wa kuwa na rasilimali watu maalum katika utoaji huduma. Ebu fuatilia kwenye vyanzo vyako mbalimbali vya habari juu ya umuhimu wa rasilimali nilizotaja katika kutoa huduma hii, nina hakika utauelewa muktadha wangu sawia
Sijapingana na wewe kuhusu rasilimali watu,na rasilimali nyengine mtambuka.Ila sidhani kuwa wanarasilimali watu wanaofaa,kama yule alemtishia nape bastola ni wakwao basi inaonyesha wazi bado wako nyuma sana. agency inayotumika kisiasa na kuminya haki za wananchi haiwezi kuwa agency nzuri.
 
Sijapingana na wewe kuhusu rasilimali watu,na rasilimali nyengine mtambuka.Ila sidhani kuwa wanarasilimali watu wanaofaa.....
Mkuu mapungufu yapo sehemu nyingi tu. Na kuna utaratibu unaofaa kurekebesha mapungufu hayo.

Ngoja ni kukumbushe kuwa hao watoa huduma wanaosifika nao wanamapungufu makubwa mno kuliko unavyodhani. Waliwahi kumtuhumu kiongozi fulani wa nchi fulani kuwa ana silaha za mahangamizi, wapi! Walisababisha maafa makubwa kwa kupotosha jeshi la nchi yao kwenda kuziharibu silaha hizo. Hawakuzipata silaha, walimuua kiongozi yule na raia wake wengi pamoja na kusababisha vifo vya baadhi ya askari wa jeshi lao.
------
Mkuu mambo haya niyakutazama kwa kutumia jicho la vipimo vinne (4 dimensions)! Vinginevyo unaweza kupandwa na hasira bila sababu.
 
Mkuu mapungufu yapo sehemu nyingi tu. Na kuna utaratibu unaofaa kurekebesha mapungufu hayo.

Ngoja ni kukumbushe kuwa hao watoa huduma wanaosifika nao wanamapungufu makubwa mno kuliko unavyodhani. Waliwahi kumtuhumu kiongozi fulani wa nchi fulani kuwa ana silaha za mahangamizi, wapi! Walisababisha maafa makubwa kwa kupotosha jeshi la nchi yao kwenda kuziharibu silaha hizo. Hawakuzipata silaha, walimuua kiongozi yule na raia wake wengi pamoja na kusababisha vifo vya baadhi ya askari wa jeshi lao.
------
Mkuu mambo haya niyakutazama kwa kutumia jicho la vipimo vinne (4 dimensions)! Vinginevyo unaweza kupandwa na hasira bila sababu.
Mkuu hakuna shirika jema la ujasusi hata moja,CIA wameshasababisha vifo vya zaidi ya watu milioni kumi mpaka leo,kuanzia cuba,el salvador,congo na kwengineko.ila wenzetu wanadeal zaid na external sabotage,kupigania interest zao nje ya nchi sisi,wakwetu wanadili na internal sabotage.
Ninachopinga mimi ni hii kauli ya kusema eti TISS hawapaswi kuchunguzwa na bunge,eti kisa wao ni shirika nyeti.hilo ndilo nalopinga.
 
....
Ninachopinga mimi ni hii kauli ya kusema eti hawapaswi kuchunguzwa. ...
Nimekuelewa mkuu.

Lakini ukipata muda fuatilia utendaji watoa huduma hao maarufu wanachowafanyia wananchi wake wenye asili za Asia, Latino, na Afrika.

Jioni njema.
 
Usalama wa taifa haujadiliwi kwa sababu ni sehemu za siri za taifa.
 
Okay u
Tafiti dunia nzima, afu utagundua stability ya Nchi inatokana na Idara ya Usalama wa Taifa ya Nchi husika. Pia vyombo vyote vina umuhimu yaani Intelligence Organization pamoja na Jeshi. Labda nigusie kidogo tu, Kila chombo kina majukumu yake, Mfano Jeshi kazi yake ni ulinzi wa mipaka ya Nchi, lakini wakati wa amani lina majukumu yake pia na ndio maana unaona Jeshi halihusiani na raia mara kwa mara kama ilivyo usalama wa raia(Polisi) ndio maana ni vigumu kwa Jeshi kulaumiwa kwa kuwa hali-deal na raia moja kwa moja kama ilivyo TISS na Polisi. Idara ya Usalama wa Taifa ni chombo muhimu kwa ustawi wa Taifa, labda niseme hivi, Idara ya Usalama wa Taifa yoyote ile ni Serikali ndani ya Serikali, kwa maana hii katika Ofisi nyingi kuna maafisa Usalama wamepenyezwa huko, mfano Jeshini, Wizara mbalimbali, BOT kuna maafisa Usalama(Rejea-Mkurugenzi wa sasa wa TISS alikuwa BOT hapo zamani na baadae NIDA) n.k, kwa hiyo kila ofisi ya Serikali au Private Organization kubwa utawakuta Maafisa Usalama wa Taifa wapenyezwa huko japo huwezi kuwajua kwa kuwa ni kama staff wa hapo au wanakuwahata mabosi wa sehemu hizo. Sababu ya kupepenyezwa huko ni kuhakikisha Nchi inakuwa salama. Kwa sababu mfano ktk Oranization kibwa za kimataifa Nchi za kigeni hupenyeza majasusi wao kama walivyo Peace Corps wa USA so ni jukumu la maafisa Usalama walio katika Sehemu hizo kuwabaini na kuwazuia kwa sababu wao wamefundishwa kuwatambua. Bahati mbaya sana wengi hawaoni mazuio yanayofanywa na Idara hii maana hawatangazi kuwa wamefanikiwa kuzima jaribio hili na lile kama ilivyo Jeshi la Polisi linapokamata majambazi, ndio maana Idara hiyo huwezi kuona umuhimu wake moja kwa moja.
Pia Idara ya Usalama inafanya kazi na vyombo vingine likiwemo Jeshi, kwa msingi huu, Idara ya Usalama wa Taifa wapo hadi Nje ya Nchi, wanapopata taarifa ya Nchi kutaka kuvamiwa, taarifa hizo zitawasishwa Nchini na Jeshi litajulishwa na kujiweka tayari. Ni mengi sana ya kuandika,ila nihitimishe kwa kusema vyombo vyote hivi ni muhimu kwa kila kimoja na majukumu yake kwa ustawi wa Nchi.
Umeeleweka mkuu,,,kumbe wana majukum Makubwa muda mwingine kuliko hata police,,,nimegundua wao ndio wanajukumu kubwa hadi kudhibiti huujumu uchumi ikiwemo Wa maliasili zetu kama kudhibiti wanyama wasitoroshwe na kadhalika,
na ufisadi ukiacha usalama wa nchi, ,
 
Nimekuelewa mkuu.

Lakini ukipata muda fuatilia utendaji watoa huduma hao maarufu wanachowafanyia wananchi wake wenye asili za Asia, Latino, na Afrika.

Jioni njema.
Mbona nayafahamu mkuu,kuanzia oparation PAPERCLIP,MKULTRA mpaka MOCKINGBIRD,hawa jamaa ni mafia kuliko wale wa sicily.ila ishu ni modus operandi ya agency yetu ni mbaya.

A Timeline of CIA Atrocities
 
Back
Top Bottom