Twiga walivyopanda ndege wao walikuwa wakipiga Selfie?
Acheni ukuda TISS ni iko imara kwa manufaa ya kikundi cha watu na Sio Taifa.
Hatutakiwi kuwajadili ila tunawahoji.
Tusiishi kwa mazoea. Tunaona magwiji wa vyombo vya intelijensia wakijadili ya kwao na kukosoa wanapokosea. Kwa nini wa kwetu tusiwajadili! Hii ya kutojadiliwa inavifanya vyombo vyetu kutenda watakavyo na wakati mwingine kukosa changamoto zitakazowafanya watende vizuri zaidi. Tukiendelea kuwaangalia wakitenda haya mabo ya kuteka (kama ni wao) na hakuna wa kuwakemea hadharani tutafika walikofika Argentina na nchi zingine za Amerika Kusini. Watawala mara nyingi ufurahia vitendo hivi maana vinatendwa kwa kisingizion cha kuwalinda na kulinda utawala wao.Thadei Ole Mushi
April 11 at 6:19pm
TISS NI TAASISI NYETI SANA KWA TAIFA HILI.
Na Thadei Ole Mushi.
Idara ya Usalama wa Taifa haujadiliwi hadharani. Ni taasisi nyeti sana kwa mustakabali wa Nchi. Hata Bajeti yake huwa haijadiliwi hadharani.
Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake. Kwangu binafsi naona si sahihi sana kuijadili hadharani kwa kufanya hivyo ni kukiuka mila na Desturi za taasisi hii.
MY TAKE: - UMUHIMU WA KITU HAUKIFANYI KITU KUWA JUU YA SHERIA KATIBA AMA HAKI ZA RAIA HURU NCHINI AKIWA NDANI YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAKE KISHERIA NA KIKATIBA PASI NA KUDHURU USALAMA WA NCHI NA RAIA.
KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KUDHIBITI VITENDO VYENYE KUHATARISHA DEMOKRASIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.
Hawazeeki,hawafi,hawaumwi,hawana stress,Walijiweka wenyewe kwenye Taasisi hiyo,Hawakosei,nk 'TUSIWE NA MAWAZO MGANDO'Thadei Ole Mushi
April 11 at 6:19pm
TISS NI TAASISI NYETI SANA KWA TAIFA HILI.
Na Thadei Ole Mushi.
Idara ya Usalama wa Taifa haujadiliwi hadharani. Ni taasisi nyeti sana kwa mustakabali wa Nchi. Hata Bajeti yake huwa haijadiliwi hadharani.
Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake. Kwangu binafsi naona si sahihi sana kuijadili hadharani kwa kufanya hivyo ni kukiuka mila na Desturi za taasisi hii.
MY TAKE: - UMUHIMU WA KITU HAUKIFANYI KITU KUWA JUU YA SHERIA KATIBA AMA HAKI ZA RAIA HURU NCHINI AKIWA NDANI YA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YAKE KISHERIA NA KIKATIBA PASI NA KUDHURU USALAMA WA NCHI NA RAIA.
KITENDO CHA KUNYANYASA RAIA HAKITAFUMBIWA MACHO MAANA NI RAIA WANAIPA UMUHIMA TAASISI HIYO KUWA YA KIPEKEE PALE TU INAPOJIHESHIMU KUHESHIMU RAIA NA HAKI ZAO KAMA WANANCHI NA KUDHIBITI VITENDO VYENYE KUHATARISHA DEMOKRASIA, AMANI, NA USALAMA WA NCHI.
Uimara wake unaujuaje wakati tasisi yenyewe haijadiliwi na kama haijadiliwi Ina maana kuwa hata utendaji wake haupimwi kwa kuwa utendaji wake ni wa gizani kama utendaji wa shetani.Taasisi hii kwa hapa nchini mwetu imejizolea sifa nyingi sana kutokana na uimara wake.
Ndio ivyo tena TISS wamejidhalilisha mpaka wanajadiliwa kila mahali.
Mleta mada yuko sahihi mia ya mia. Huwezi jadili usalama wa taifa jf wala facebook wala twita.
Na mimi naungana na mleta hoja.Na.nyie usalama wa Taifa lazima mtambue watanzania wanabadilika kutokana na kasi ya dunia.Sasa TISS lazima mje na mbinu mbadala za kuweza kufanya.kazi katika dunia ya leo.Mbinu zenu hazitakiwi kufahamika kwa wasiohusika.Sasa hivi tukio linaonekana kabisa "haaa hawa ni TISS".Hiki ni kitu hatari.Mlikuwa vizuri miaka yote.Kama kuna baadhi wanatoa siri za taasisi nje,waondoeni mara.moja.Mleta mada yuko sahihi mia ya mia. Huwezi jadili usalama wa taifa jf wala facebook wala twita.
UKIFANYA JEMA KWANINI USISIFIKE??....HUWA WASAHILI HUSEMA SAMAKI MOJA....??.....HAPO HAINA MAANA WOTE WALIKOSEA ILA KWA MMOJA IMEKUWA ISHU!!....KUNA WATU HAWALALI USIKU NA MCHANA KUTAFUTA PESA KUISIMAMISHA USALAMA WA NCHI HII KUFANYA KAZI. TUNATEGEMEANA AS HUMAN BEINGS ALL CREATURES OF GOD!..AND IN FACT .... NANI KAMZIDI MUNGU KUSIMAMIA USALAMA WA HII NCHI KWA WATU WAKE WANAOTESWA BILA HAKI NA HAO SAMAKI WALIOOZA?Mshaanza kuropoka tena... Acha kazi ifanyike, mtoto wako akikunyea haukati mkono wako, kosa la mtu moja usihitimishe kwa wote, watu hawalali kwa ajili yako unapata mda wa kupost hata Usiku kwa Uhuru kama huo..heshimu wanaojitoa maisha kulinda nchi yako.