George786
Member
- Feb 8, 2019
- 53
- 95
Sawa Nimekuelewa na Pole sana.
Hata hivyo. Nimeeleza ukweli kwamba Bocco ni hard working but he is not really competent. Ni mchezaji ambaye, of course he can assist lakini hana uwezo wa kumu attack kipa.
Hivyo kwa mechi za ndani John ni mzuri sana but kwa International games anahitaji kuwa na mtu ambaye really competent atakayekuwa anasaidiana nae while he keeps learning.
Aidha, imezoeleka kwamba, Mpira na Muziki kwa TZ ni wale ambao ni failure mashuleni ndiyo hujiingiza huko, hii imewaathiri sana wachezaji wetu na kushindwa kufanya jitihada wakiamini kwamba mpira ni mchezo mchezo tu.
Mbwana Sammata anaonekana ni mchezaji mzuri just because akiwa kwenye 18, ni katika mazingira magumu sana kipa kubaki salama, hii ni determination kubwa sana wachezaji wetu wanaikosa.
John still has time to learn, he needs to accept his weakness, that is all it is.
Tatizo la sisi watanzania hatupendi kuambiwa ukweli,bocco si mchezaji wa kiwango wanachokiongelea,ndio maana mpaka sasa hakuna team iliyovutiwa nae,tofauti na kagere ambae team zaidi ya mbili zinamtaka,mfano away match dhidi ya mazembe hakuwa na madhara yoyote kwa mabeki kabisa,jamaa kasaidia sana ila si mchezaji wa kutegemea kama simba inataka kuwa level za mazembe,tunahitaji wapambaji kama kagere watatu katika nafasi tatu anatumia mbili tofauti na bocco nafasi kumi ataumia moja ,thats my opinion
Sent from my iPad using JamiiForums