Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,256
- 4,098
Niseme ukweli sina imani na mchezaji yoyote wa SIMBA SC , they are too good for nothing.
Mtu kama Hussein anapenda sana kurudisha mpira nyuma, hana accuracy’s . Ni uchochoro.
Manula ni tatizo lingine, it was just a matter of time aruhusu goli, nadhan ndio kipa atakayeshika namba 1 kwa kufungwa.
Mpaka sasa ameshakula goli nne. DRC watamlala kama 3 hivi.
Hata ile kona nilijua ni goli, huwa haoni vema.
Samatta, ni aina nyingine ya kizazi cha SSC , mvivu, yupo slow , sio creative kama wenzie wanaocheza nje, anaharibu movement nyingi ambazo zinaweza kuzaa magoli.
Nadhan amepangwa kwa jina tu , Uingereza walistuka zamani sana kuwa jamaa alikuwa overated.
Shida kubwa walioharibu mpira ni wachezaji wa SSC. Mchezaji pekee wa SSC anaejielewa
ni mmoja tu ; kibu denga
Kama mmeshindwa kuifunga Zambia wa kiwa pungufu ; DRC ni ya moto hamuiwezi
Wachezaji wa SSC ni kichwa cha mwendazimu kama viongozi wao waliowasilisha mafanikio ya klabu kwa miaka 2 mfululizo, shame !
Mtu kama Hussein anapenda sana kurudisha mpira nyuma, hana accuracy’s . Ni uchochoro.
Manula ni tatizo lingine, it was just a matter of time aruhusu goli, nadhan ndio kipa atakayeshika namba 1 kwa kufungwa.
Mpaka sasa ameshakula goli nne. DRC watamlala kama 3 hivi.
Hata ile kona nilijua ni goli, huwa haoni vema.
Samatta, ni aina nyingine ya kizazi cha SSC , mvivu, yupo slow , sio creative kama wenzie wanaocheza nje, anaharibu movement nyingi ambazo zinaweza kuzaa magoli.
Nadhan amepangwa kwa jina tu , Uingereza walistuka zamani sana kuwa jamaa alikuwa overated.
Shida kubwa walioharibu mpira ni wachezaji wa SSC. Mchezaji pekee wa SSC anaejielewa
ni mmoja tu ; kibu denga
Kama mmeshindwa kuifunga Zambia wa kiwa pungufu ; DRC ni ya moto hamuiwezi
Wachezaji wa SSC ni kichwa cha mwendazimu kama viongozi wao waliowasilisha mafanikio ya klabu kwa miaka 2 mfululizo, shame !