Usajili wa Simba Sport Club Kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020

Umejaribu kutoa mchango mzuri ila kumuattack Bocco kwa dizaini hiyo nimkuvunjia heshima mchezaji aliejitoa kinaga ubaga kupigania timu na nchi yake.

Kwa taarifa yako Bocco ndie mchezaji aliepafomu kwa kiwango kikubwa sana mechi na Mazembe away ukimuondoa Manula. Sivyema kumtolea mifano ya aina hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kukosa penalty?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba kwenye ligi ya ndani kwakua Timu ilikua inaenda moja klabu bingwa wanatumia falsafa Kama ya Bayern kuziharibu Timu zengine ili kuendelee kutawala...ila tukianza kupeleka Timu mbili klabu bingwa tutaacha kuchukua wachezaji wakawaida ambao kimsingi hawatumiki hata katika mashindano ya kimataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew Nani kakudanganya baryen wanashiki peke yao ligi ya mabingwa hadi uwafananishe na Simba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kudos bro
Njia Pekee ya Simba Kuongeza Mtaji ni Kuongeza Vyanzo vya Mapato Ikiwa ni Pamoja na Timu Kuunda Kamati ya Akili Kubwa Ambayo Itakuwa Inaleta Mapendekezo ni Namna Gani Klabu Inapaswa Kufanya Ili Kuongeza Pesa. Sasa Hili ni Eneo Ambalo I Trust Mo is Good in This Area.

Kwa Mfano,

Klabu ya Simba inawashabiki Zaidi ya 60K, wakitengeneza Jezi zenye Ubora na kutafuta njia ya ku Control Copying, yaani wahakikishe mashabiki wote wananunua kwenye ofisi husika tu, what do you think about that?

2. Klabu inaweza kufungua maduka ya nguo za michezo zenye ubora na wakawa honesty na kile wanachokitangaza, what do you think about that?

3. Timu ikiwa na Mabasi yake ya kubeba Abiria kwa mfano, Dar -Moro, Moshi Singida, Moshi Arusha etc etc. Na magari yakiwa na ubora na kisasa, what do you think about that?

4. Klabu ikiwa na restaurant zake kwenye Miji Mikubwa Mikubwa kama Dar, Mwanza Arusha na Zanzibar , ambazo ni restaurant za kisasa, watahudumia
Mashabiki wa SSC na watanzania wote, what do you think about that?

5. Klabu ikiamua kuweka boti 2 za Kwenda Unguja Dar, kwanza watarahisisha usafiri kwa wananchi wanaotumia Usafiri wa maji lakini pia watapata fedha mingi mingi, what do you think about that !?

A lot brother, I can fill the whole page. Those are the simple things Klabu inaweza kufanya, and they will rescripting the history of Football in TZ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
simba hawana mpira, mechi za nyumban wameshinda ki bahati tu we washauri wazidi kuwekeza kwenye uchawi ndio uliowasaidia

Hatutaki Majungu. Hapa tunaongea Istiqama za ajabu.

Sitegemei kama ni Level yako.
 
Bocco lazima apate namba AFCON.. Kukamilisha utatu madhubuti Samatta, Msuva na Bocco.. Kati Nyoni, Mudhathir na kiberenge Farid Musa... . Backline Kevin, Aggrey, Gadiel na Kapombe.. Kipa Manula.. Tukitaka kupaki bus Himid Mao, Fei toto na Mkude
 
mkuu umechambua vizuri lkn kuna ka bias umekasema ..unasema wachezaji kama chama, kagere, na niyonzima na ukasema unaangalia wanachezeshwa na nani ? ukasema wanachezeshwa na mtu kama bocco anakiwango dhaifu... HAPANA mkuu Bocco hana kiwango Dhaifu kbs.. angalia ana assist ngapi ktk klabu yake tena ktk mechi muhimu za kimataifa ...tazama assist zake mbili ktk mechi na uganda za kufuzu..mi maoni ni kwamba Bocco anavyo chezeshwa simba analazimika kutumia nguvu nyingi ndio maana anawahi kuchoka ..lkn kama Bocco angekuwa anachezeshwa kama lonely striker akizungukwa na mawinga wazuri atleast ..ndugu yule jamaa anakipaji.... Na kumbuka yy ndio anaongoza kwa magoli ktk ligi ya bongo ..Mpe mtu heshima yake

Hivi mtu anaanzaje kumdharau Boko! mtu ambaye alipokuwa Azam alikuwa anajipigia Simba na Yanga vile atakavyo na bado kahamia Simba ndo kwanza kaipeleka robo fainali CAF huku akiipeleka Stars AFCON pia.

Watu kama hawa ni qualified haters.
 
Hivi mtu anaanzaje kumdharau Boko! mtu ambaye alipokuwa Azam alikuwa anajipigia Simba na Yanga vile atakavyo na bado kahamia Simba ndo kwanza kaipeleka robo fainali CAF huku akiipeleka Stars AFCON pia.

Watu kama hawa ni qualified haters.

Ya faa ukaelezea Maana ya Dharau

Kisha Uelezee Maana ya Ukweli.

Naamini hivyo ni vitu viwili tofauti.
 
Simbwa msimu ujao kama mkishiriki CAF mtatoka mapema kabisa, naona mnajiaminisha mtachukua Champions League kisa mmebahatisha msimu huu

Mbwa ukimjua jina hata hakusumbui
 
Simbwa msimu ujao kama mkishiriki CAF mtatoka mapema kabisa, naona mnajiaminisha mtachukua Champions League kisa mmebahatisha msimu huu

Mbwa ukimjua jina hata hakusumbui

Upo nje ya Mada. Pole.
 
Ukweli utabaki ukweli bro... uko sawa kabisa, mashindano ya CAF sio kitoto kabisa.
Angalia AL AHLY na kikosi chake chote kile anakula 5-0, Tunapaswa kufanya vitu vikubwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa sio wa majaribio.
 
Back
Top Bottom