Shukran kwa kujitokeza kunisaidia ni Nursery School nahitaji watoto kuanzia miaka mitatu mpaka minneSawa mkuu.nijibu swali hili ili nikupe maelekezo yatakayo kusaidia kusajili na kuendesha NURSERY SCHOOL.
1.ni NURSERY SCHOOL au DAY CARE CENTRE?wengi wetu huchanganya kati ya nursery na day care .