The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Kwa hiyo tunaenda kusajili upya au? maana Mimi nilisajili kwa kusign kwenye zile smart zao.
Umelazimishwa kuwa na simu? Uza yako utumie barua za postaHivi kwanini wasifute hizi simu za mkononi tubaki na korogakoroga za TTCL ?
Ubarikiwe sana mkuu.
Uzuri wake nini ?Good newz
Itapunguza hata wizi wa kimtandao,lain inatumiwa na john imesajiliwa kwa jina la AshaUzuri wake nini ?
FactItapunguza hata wizi wa kimtandao,lain inatumiwa na john imesajiliwa kwa jina la Asha
Sasa yale mapicha mliyowapiga walipokuwa wanasajili mwanzo yalikuwa ya kazi gani ?Itapunguza hata wizi wa kimtandao,lain inatumiwa na john imesajiliwa kwa jina la Asha
Huu utaratibu mzuri. Naipongeza Serikali kuamua kusajili line kwa staili ya kuweka fingerprint. Ingawa kutakuwa na changamoto nyingi lakini mwanzo mzuri.Nimetumiwa sms na Airtel pamoja na Tigo wakinijulisha kuhusu utaratibu mpya wa kusajili line ya simu kwa kutumia alama za vidole kuanzia mwezi ujao , Bila shaka kuna wengine mmeona jambo hili.
Najaribu kujiuliza kwanini nchi hii vitu vinabadilika kila baada ya sekunde chache , utaratibu huu mpya umelenga nini ?
Mkuu wewe hili unadhani ni jambo baya?tatizo watz kila kitu ni siasa tu hata kwenye maswala ya msingi mnaleta siasa Mimi binafsi nashukuru sana hata Rais alivyopiga stop mikutano ya siasa holela maana tumekalia siasa siasa tuSasa yale mapicha mliyowapiga walipokuwa wanasajili mwanzo yalikuwa ya kazi gani ?
Watu wasiojulikanaNimetumiwa sms na Airtel pamoja na Tigo wakinijulisha kuhusu utaratibu mpya wa kusajili line ya simu kwa kutumia alama za vidole kuanzia mwezi ujao , Bila shaka kuna wengine mmeona jambo hili.
Najaribu kujiuliza kwanini nchi hii vitu vinabadilika kila baada ya sekunde chache , utaratibu huu mpya umelenga nini ?
Baada ya kupongeza uozo wa kuzuia mikutano ya siasa nimeamua kukudharau .Mkuu wewe hili unadhani ni jambo baya?tatizo watz kila kitu ni siasa tu hata kwenye maswala ya msingi mnaleta siasa Mimi binafsi nashukuru sana hata Rais alivyopiga stop mikutano ya siasa holela maana tumekalia siasa siasa tu
Baada ya kupongeza uozo wa kuzuia mikutano ya siasa nimeamua kukudharau .
Watu wasiojulikana
Baada ya kupongeza uozo wa kuzuia mikutano ya siasa nimeamua kukudharau .
KUCHUKULIWA ALAMA ZA VIDOLE NI POLISI AU VITAMBULISHO VYA TAIFA AMBAO WANACONTROL KUHAKIKISHA ANAYECHUKULIWA NI YEYE NA JINA NI LAKE NK. NANI KAWARUHUSU KUFANYA HII KAZI? HATARICSANA NASEMA.Nimetumiwa sms na Airtel pamoja na Tigo wakinijulisha kuhusu utaratibu mpya wa kusajili line ya simu kwa kutumia alama za vidole kuanzia mwezi ujao , Bila shaka kuna wengine mmeona jam
Najaribu kujiuliza kwanini nchi hii vitu vinabadilika kila baada ya sekunde chache , utaratibu huu mpya umelenga nini ?