Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,609
- 218,032
Nimetumiwa sms na Airtel pamoja na Tigo wakinijulisha kuhusu utaratibu mpya wa kusajili line ya simu kwa kutumia alama za vidole kuanzia mwezi ujao, Bila shaka kuna wengine mmeona jambo hili.
Najaribu kujiuliza kwanini nchi hii vitu vinabadilika kila baada ya sekunde chache, utaratibu huu mpya umelenga nini?
Najaribu kujiuliza kwanini nchi hii vitu vinabadilika kila baada ya sekunde chache, utaratibu huu mpya umelenga nini?