IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
Effect of giving power to a coward....One scared of own shadow
Kuhusu swala la kodi ndo Maana wanachukua alama za vidole napingana na ww sio kweli.kuna njia tofauti wanaweza kufanya kuliko kuwapangisha watu foleniUtaratibu wa finger print haupo tanzania tu. Hata india, Nepal na Nchi nyingine za Asia nikiwa sina uhakika sana na china wanatumia huu mfumo. Finger print ina faida nyingi sana ikiwemo kuongeza usalama na mengine mengi. Cha muhimu na cha kuzingatia ni kwamba mfumo huo hautodhuru mtu yoyote na wala hauna hasara yoyote ile.
Nahisi serikali inataka kudhibiti ulipaji wa kodi wa makampuni ya simu kwa kujua idadi ya watu wanaotumia mtandao husika. Au labda nchi inajaribu kucop na maendeleo ya sayansi na tecnolojia maana nchi za wenzetu zimeanza huo mfumo mda sana.
Sasa wao si ndo wameamua kutumia njia hiyo. Au wewe ungependekeza njia ipi.Kuhusu swala la kodi ndo Maana wanachukua alama za vidole napingana na ww sio kweli.kuna njia tofauti wanaweza kufanya kuliko kuwapangisha watu foleni
Na kama kwa sasa hilo jambazi halina mikono itakuaje?Hayatoshi kuwabaini majambazi maana likizeeka na sura nayo inabadilika
Mlimani city ni kwa wateja wa vodacom tu. Sasa we unatumia tigo au halotel nenda mlimani city kasindikize wenzako.
Ni typing error Mkuu. Nimemaanisha kwa wateja wengine vituo vipo vingi sio lazima tukajijaze mlimani city
Acha kupotosha watu mzee
Duh! Kodi ya kumiliki simu tena !Hiyo itakuwa kazi ya TCRA na wenzao wa Intel..bado kodi ya kumiliki simu/leseni..bongo hakuna dogo!
Bora kufa kuliko kuishi maisha ya fedheha - IMAM HUSSEIN (AS)Effect of giving power to a coward....One scared of own shadow
Nyambaf, tumia akili wewe. Unalink vitu visivyofanana.Vitambulisho vya kura, leseni za madereva, TIN huko kote wamechukua alama za vidole, cant they link na line za simu?
Una-link utambulisho wa mtu sio vitambulisho, fingerprint ni unique hata ichukuliwe na taasisi 101 itabaki ileileNyambaf, tumia akili wewe. Unalink vitu visivyofanana.