Usajili UDOM 1st year ni kero kubwa

Usajili UDOM 1st year ni kero kubwa

Dah, huo ndo mfumo wao wa usajili.. Hizo siku tatu ulizokaa bila kusjiliwa ni cha mtoto, so usishangae kukaa one week bila kusajiliwa!!!!!
 
Wana Jf ninaelekea kumliza siku tatu tangu nifke chuo cha udom bila kukamilisha Mchakato wa usajili maana unajaza miform hadi unachoka hapa nimelala taabani bin hoi ila bado kesho nadaiwa kuendelea na mchakato njaa imeuma hadi utumbo umekunjamana sasa mimi nataka kujua kwa wenyeji wa chuo hiki tabia hii ilikuwepo tangu awali au imeanzia kwetu na kwann mchakato uwe mrefukiasi hicho tofauti na vyuo vngne?? Inamaana wanatakakusema wao ndio wanajua kusajili wanachuo udom badilisheni mfumo bandugu mnatuuwa 1st year
Rudi nyumban kama unaona kero
 
We dogo wakuja kweli. Tena bora udom unajaza form page moja tu. Nenda vyuo vingine kwa mfano MUCE ulinganishe na form yako hiyo. Watu wanajaza booklet. Tena eti unataka ufanyiwe usajili siku moja tu! Duh! Kama kuna chuo kinaweza hilo suala Tanzania hii basi salute sana kwa hicho chuo. Kua uyaone dogo. Ulijua chuo kikuu mtelezo ee? Na baado.
 
Wana Jf ninaelekea kumliza siku tatu tangu nifke chuo cha udom bila kukamilisha Mchakato wa usajili maana unajaza miform hadi unachoka hapa nimelala taabani bin hoi ila bado kesho nadaiwa kuendelea na mchakato njaa imeuma hadi utumbo umekunjamana sasa mimi nataka kujua kwa wenyeji wa chuo hiki tabia hii ilikuwepo tangu awali au imeanzia kwetu na kwann mchakato uwe mrefukiasi hicho tofauti na vyuo vngne?? Inamaana wanatakakusema wao ndio wanajua kusajili wanachuo udom badilisheni mfumo bandugu mnatuuwa 1st year
Hatawiki kumbe bado unalalama hapo bado kabisa,vumilia
 
dah vumilia tu hiyo ndo udom mimi 2009 tulifungua oct kati kati hivi nilikuja kupata usajili baada ya mwezi
 
Ndo maisha ya varsity hayo… na sio UDOM tu uliza rafiki zako walio vyuo vingine…… bado kwenye IDs za mitihani hapo!
 
Acha kulia lia mtoto wa kiume wewe.Pambana hayo ni mambo ya kawaida tu.

Kama kwenye usajili tu unalalamika kiasi hicho siku ukipata sup kama 3 hivi utaweza kuzichomoa kweli?

Ukiona unachoka sana nenda pale carnival kapate moja mbili tatu ukae sawa kesho uendelee na hiyo shughuli.

Carnival ipo humanities pale ingawa sina uhakika kama bado inaendelea kutoa huduma kwa vijana.
 
We dogo wakuja kweli. Tena bora udom unajaza form page moja tu. Nenda vyuo vingine kwa mfano MUCE ulinganishe na form yako hiyo. Watu wanajaza booklet. Tena eti unataka ufanyiwe usajili siku moja tu! Duh! Kama kuna chuo kinaweza hilo suala Tanzania hii basi salute sana kwa hicho chuo. Kua uyaone dogo. Ulijua chuo kikuu mtelezo ee? Na baado.
Bro udom kwan wanajaza page moja subili wadau tuliofka huko wakusmulie tunajaza bibble ya maform ww unasema moja yawezekana mwaka wako ulijaza moja huku tumejaza form zaid ya 20 leo na bado ukifka kusajiliwa unarudshwa wanadai haujalipia form ya by-law mara ukifka huku unaambia hauna admission copy mara haujajaza form ya hostel mara nin.... daah ndg itakuwa haujafka hapa kwa mwaka huu mwenyewe nilienda kwa kufuata instruction ya kaka aliepo 2nd year nimefka nakuta niko incoplete imebd tena foleni ya kutoa copy yaan hapa kila ktu folen mara folen ya kulipia bylaw
 
Bro udom kwan wanajaza page moja subili wadau tuliofka huko wakusmulie tunajaza bibble ya maform ww unasema moja yawezekana mwaka wako ulijaza moja huku tumejaza form zaid ya 20 leo na bado ukifka kusajiliwa unarudshwa wanadai haujalipia form ya by-law mara ukifka huku unaambia hauna admission copy mara haujajaza form ya hostel mara nin.... daah ndg itakuwa haujafka hapa kwa mwaka huu mwenyewe nilienda kwa kufuata instruction ya kaka aliepo 2nd year nimefka nakuta niko incoplete imebd tena foleni ya kutoa copy yaan hapa kila ktu folen mara folen ya kulipia bylaw
Cc miaka ya nyuma ilikuwa simple tu ila inachukua muda kutokana na wingi wa watu. Ila mbona hicho kitu kipo kila chuo. Tena ktk vyuo ambavyo nna uzoefu navyo naona udom ndo usajili upo simple. Nenda vyuo vingine uone taabu za dunia wanavyozipata.... hicho ndo chuo kikuu...! by the way... mmeanza lini usajili?
 
Udom Lila kitu no foleni, Luanda nagari ya kwenda na kutoka mjin folen, usajili folen tena kubwa, vitambulisho ndio usiseme. halo ukizubaa usajili wako utakamilika baada ya mwezi maana continuing wanaingia jmos na wao wanaanza usajili na wao ni mwendo wa kuovertake
 
Back
Top Bottom