incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,533
- 4,290
- Thread starter
- #21
Juma mosi hiii rasmi nipo humanities kwa Mr sanga dean of Humanities ni prf FP NYON[emoji310] [emoji310] [emoji310] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Cc miaka ya nyuma ilikuwa simple tu ila inachukua muda kutokana na wingi wa watu. Ila mbona hicho kitu kipo kila chuo. Tena ktk vyuo ambavyo nna uzoefu navyo naona udom ndo usajili upo simple. Nenda vyuo vingine uone taabu za dunia wanavyozipata.... hicho ndo chuo kikuu...! by the way... mmeanza lini usajili?