Usajili taasisi ya mikopo

Usajili taasisi ya mikopo

Levites

Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
68
Reaction score
34
Kwa wale wanaohitaji kusajiri Taasisi za kutoa huduma ndogo za kifedha (Microfinance / Microcredit ) karibu tufanye kazi uweze kupata leseni ya Mammlaka husika BOT

Pia kama unahitaji kusajiri kampuni karibu tukuhudumie

Mawasiliano 0652659775 Normal call & Whatsapp
 
Qnet ndio nini ? kubeti au ? anyway kikubwa ni kupata pesa kwa uhalali, vingine majuto huja baada ya kuufyata 🙂
Kampuni ya kitapeli mkuu watu wanajiunga kwa kununua bidhaa kwa aajili ya matumizi yao wao wenyewe halafu bei ni 5.6M nk ili ujiunge hahahahahah
 
Pitia huu Uzi wa QNET..

 
Back
Top Bottom